jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kwanza muamini Mungu mmoja tu ambaye hakuzaa wala kuzaliwa ,wala hana mwana wala anayefanana naye,na amini kiwa muhmaad S.a.w ni mtume wake pamoja na mitume kabla yake issa(Yesu),musa,ibrahm mpka adam kuwa hawa ni mitume wa Mungu wametumwa kuufikisha ujembe mmoja wa kuabudiwa mungu mmoja tu na hawajawahi tofautiana.
then tutakupa utafauti murua wa sunn na shea
karibu sana
Yesu ni Mungu/Wana wa Mungu aliye Hai,tambua hilo kwanza.