Tofauti ya Waarabu, Wazungu na Waafrika utaiona hapa

hapo kwa waarabu upo sahihi ndg. hii jamii inafanya mambo mengi sana ya kishenzi nyuma ya pazia.

siku hizi mitandao ya kijamii inaanika sana mambo yao.

tazameni wenyewe video hapa chini.
Your browser is not able to display this video.
 
Huko tunakoenda binadanu wote watakuwa wanatrmbea na vikoba vya pumps na pedi hatua isipochukuliwa.
 
Bila ushahidi hawawezi kuamini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hili ni janga na miaka ya hivi karibuni ndo ushoga umechukua hatamu, wanaweka Hadi kwenye movies na vipindi vya tv hii yote ni kuhakikisha Jamii Ione ni kitu Cha kawaida kwa wanavyoangalia mara kwa mara.
Tusiache kupaza sauti kwa watoto wetu mara nyingi tuwezavyo unavyompa mtoto uwezo wa kujiamini hatokaa aanguke kizembezembe,(mlee mtoto katika njia impasayo nae hata iacha hata uzee wake) Tulee watoto katika mazingira ya Dini wawe na hofu ya Mungu.
Hili suala hakuna Mwenye unafuu linagusa Kila Jamii si mwarabu wa Machava Wala usukumani.
Vijijini kutokana na TV za vibandani na movie za kimagharibi kuangalia na kujaribu wanachokiona watu wameanza hii michezo way back.
All in all tusiache kupaza sauti na kukumbushana kama hivi.
 
Reactions: HLM
Mleta mada nina vijiswali kidogo; mbona hapo kwa waarabu umeongea mengi na kwa ukali sana huku ukitaja maeneo meengi waliyowahi kuishi na kuwatusi kabisa watu wa huko?
Unataka kuingiza udini hapo,nakuona tuu
 
Naleta za kanisani soon
hakuna jipya ktk hilo....tumeshazoea kuzitazama.

shida ni picha za mashoga wa kiarabu, usiri ulikuwa mwingi sana ila siku hizi wanaumbuliwa na mitandao ya kijamii.
 
Hii thread ilishawahi kuletwa kama sio wewe basi mwingine, huenda ilifutwa na imeletwa tena kwa mara nyingine, hapo sioni jipya, Moderator
 
Uko uarabuni unakosema ikijulikana kama unafanya ilo jambo adhabu yake ni kubwa sana mpaka kifo watu wanahukumiwa kwa tendo ilo hii inamaanisha nini? kuwa ilo jambo ni baya kama unafanya fanya ila ukikamatwa adhabu yake ni kubwa nikupe mfano apa tanzania kisheria abortion ni kosa kisheria je watu awatoi mimba? kosa la mtu mmoja au kikundi cha watu usihusishe jamii nzima
 
Hapo navyoona analengwa mwarabu tu, hata maelezo yanajieleza, ni mengi na ukaamua kuongea kwa hisia kali,,,ndugu zangu waislamu kuweni makini nao sana hawa watu, hata Qur'an ilishaeleza kuhusu hawa watu, Accumen Mo
 
Hivi kwanini mashoga wengi wanapenda sana kuanzisha mada za ushoga?
Hii ni kwa sbb waarabu wamesemwa.
lilolo wazi ni kwamba ni jamii ya watu wenye chuki na ulipaji wa visasi.
ona wanavyotesa wafanyakazi wenye asili ya Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…