Toka Bongo Fleva ianzishwe hakuna mwanamziki wa kike mwenye sauti ya kuvutia, kipaji cha kutunga na kuimba kwa hisia kama Lady Jaydee

Toka Bongo Fleva ianzishwe hakuna mwanamziki wa kike mwenye sauti ya kuvutia, kipaji cha kutunga na kuimba kwa hisia kama Lady Jaydee

Kipindi kile cha miaka ya 2012 kushuka chini jide alikuwa anaua sana kwenye upande mzima wa Chorus na ni wazi alikuwa level ya kina Juma nature,Q chilla na Ferooz.
Sawa sawa. Yani kwa upande wa wanawake in chorus na uimbaji alikuwa hana mpinzani.
 
Mmmmh.....sema umeamua kumpigia promo tu au umemkumbuka.....hata jaydee mwenyewe ukimuuliza ni msanii Gani wa kike mwenye sauti nzuri hawezi kujitaja yeye...
Inawezekana asijitaje kutokana na ule msemo wa kizuri hakijisifu bali husifiwa.
Ila wewe fuatilia nyimbo zake vizuri nina imani utakubaliana na kile tunachokiandika hapa.
 
Inawezekana asijitaje kutokana na ule msemo wa kizuri hakijisifu bali husifiwa.
Ila wewe fuatilia nyimbo zake vizuri nina imani utakubaliana na kile tunachokiandika hapa.
Hapana sio kweli....msanii mwenye sauti nzuri na vocal Kali ni ruby na hata kwenye interviews nyingi walizofanya wasanii wengi wa kike walipoulizwa wote walikiri kuwa Kwa ruby hawaoni ndani...ruby anauwezo wa kuimba tunes ya chini kabisa ambayo wasanii wengine hawawezi kuifikia na anaimba tune ya juu (base) ambapo sio kitu Cha kawaita katika sauti...
 
Back
Top Bottom