Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Magu anaweza kuwa na nia na dhamira ila wana ccm ndo wanaomkwamisha mana hakuna aliye msafi jipu LA ufisadi wa wana ccm likitjmbuka then akaweka msingi wa katiba wa kuruhusu raisi aliyetoka madarakani kushitakiwa itakua poa. Katiba ya sasa iko kichama. Bila kumtumbua mkwere na sidhani kama anagusika
 
Lowasa na genge lake chini ya rostam azizi umelisahau
Wewe una uelewa mdogo kama Lowassa yumo mbona hatujasikia akikamatwa na yupo nje ya ccm? wewe unafikiri Lowassa angekuwa amefisadi kama alivyofanya Kikwete wangekuwa wamemwacha hadi leo? na kama amefisadi nchi basi wahusika wakubwa wapo ccm ndio maana wanashindwa kumkamata maana mambo yote yatakuwa hadharani
 
Kama ana nia ya dhati ya kumaliza ufisadi nchini afute Chama Cha Mapinduzi!
 
kupambana na ufisadi nchii hii ni ngumu sana. maana wahusika wakuu ni vigogo....
 
Nafikiri Magufuli apache kucheza zero sum game ya watumishi hewa aishughulikie ccm kwanza vingenevyo atastukia 2020 hii hapa hajafanya chochote
 
LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMIbLUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI LUGUMI
 
Kama ana nia ya dhati ya kumaliza ufisadi nchini afute Chama Cha Mapinduzi!
Chama cha mapinduzi hakina shida hata kidogo!
In fact hiki ni chama imara, bora na chenye misingi imara ya uongozi kuliko chama chochote nchini! Tazama mfumo wake wa uongozi!
Ila kuna shida ktk ccm kwa baadhi ya viongozi wake, kama Magufuli atachukua chama na kukifanya kama ilivyo serikali, then ccm itaimarika zaidi!
 

Kwa muktadha huo unaonaje ukamshauri msajili wa vyama vya siasa afute vyama vingine ibaki tu CCM?
 
Kwa muktadha huo unaonaje ukamshauri msajili wa vyama vya siasa afute vyama vingine ibaki tu CCM?
Sasa vyama vingine vifutwe kwa sababu zipi?
Uimara wa ccm unajengwa na changamoto zinazotokana na kuwepo kwa upinzani! Ni faida kwa watanzania wote, ukawa, ccm, vyama vingine na wasio na vyama pale unapotokea ushindani baina ya vyama au wagombea na pia kuongeza wigo mpana kwa watu kuchagua watendaji na vyama vyao, lkn pia wananchi kuchagua itikadi zitakazo ongoza dira ya maisha yao kupitia mlengo wa siasa!
 

Na sioni kama kunayo sababu gani ya kuifanya mikataba kama ya madini kuwa ni ya siri hasa ukizingatia ya kwamba hakuna ushindani maana hatuna nchi washundani ktk sekta kama ya madini kwa sababu ikiwa tunayo tanzanite jirani yetu hana na ikiwa tunayo dhahabu pia jirani yetu hana dhahabu ya kuitosheleza dunia ili tuseme ya kuwa tunaogopa tukiiweka mikataba yetu hadharani wanaweza kutupiku na hata baadaye wakawachukua wawekezaji wetu ambao tumezianika siri zao

zaidi ya hapo mimi naona mikataba kama hii inafichwa kwa ajili ya maslahi ya wachache

hivyo naungana na mtoa kero mikataba kama hii ipelekwe bungeni ijadiliwe na wabunge kwa faida ya wananchi wa tanzania
 
Habari,

Majipu yapo mengi ila kuna hili la madini nadhani nalo ni la muhimu kama walivyotangulia kusema wengine.

Nasema hivi kwa kuwa nina wasiwasi wachache ndio wanaonufaika. Kama unasafiri mara kwa mara kutokea Mwanza kwenda Dar au Arusha hapo katikati utakutana na Malori si chini ya 30(nimeshawahi kuhesabu) either yakitoka nchini au yakiingia kuchukua Udongo wetu kuupeleka huko nje, watu wamekwisha hoji sana lakini hakuna kinachofanyika.

Hali hii ni ya kutumbua, haiwezekani mtu atumie nguvu nyingi kusafirisha udongo usionathamani kubwa zaidi alafu yule mwananchi wa maeneo husika hana maji wala umeme, kama mzalendo nadhani hili ni jipu sugu.
 
Ninaunga mkono hoja.

Mimi faili langu limepotea inabidi nianze upya. Huyo mama wa kipare nilifika ofisini kwake akaonyesha jeuri ya hali ya juu. Watu wanalipwa mshahara kwa kodi yetu ili watutumikie lakini bado wanataka tuwape hela watufanyie kazi ambayo ni haki yetu. Angalau wangefanya hiyo kazi wakapewa shukurani baadaye.

Hili jipu kama halitatumbuliwa basi itakuwa ni shida sana kupata haki yako hapo Halmashauri ya Kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…