Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
MBEZI BEACH KITUO CHA INTERCHICK NA MBAGALA SUDECKOHapa kuna jipu..... funguka zaidi.... wako wapi ...hilo godwn ni lipi... n. k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBEZI BEACH KITUO CHA INTERCHICK NA MBAGALA SUDECKOHapa kuna jipu..... funguka zaidi.... wako wapi ...hilo godwn ni lipi... n. k
Hili jambo hata mimi limenikuta.ila suluhisho la hawa watu aidha ni kuwakazia wakuandikie risit halali au kuwaweka hadharani kwa smartphone,wanakwepa sana kodi.Tra mko wapi na hii mimashine yenu wafanyabiashara kariakoo hasa wahindi ukienda kununua vitu kwa mfano ukitoa laki kununua vitu utaandikiwa risti ya elfu ishilini
Hiyo kama pesa ilitumika kwa mambo ya kiserikari ni sawa kabisa, hakuna kuwapa wana DECI hata senti moja, iwe fundisho kwa wajinga wanaoendekeza kupata pesa bila kufanya kazi.Jipu ni ile hera ya DECI serikari ipo kimya mpaka leo. Watoe taarifa kama ilitumika kwa shughuri za kiseikari au wajanja wachache wamegawana kama ile ya EPA?
Ndo nnachokisema hata mimi mkuu. Tujue imeenda wapi ile hera. Habar ya walikuwa au hawakuwa wajinga waliopanda hizo mbegu lilishazungumzwa sana kipindi hicho. kwa sasa tujue tu imeenda wapi?Hiyo kama pesa ilitumika kwa mambo ya kiserikari ni sawa kabisa, hakuna kuwapa wana DECI hata senti moja, iwe fundisho kwa wajinga wanaoendekeza kupata pesa bila kufanya kazi. Eti unapanda pesa halafu baada ya mwezi unavuna mara mbili, elimu ya wapi hii. Hawa ndio wanaokuwa tayari kuuza viungo vya albino
Pale Tazara kuna taa upande wa kutokea mjini kurudi uwanja wa ndege uwa inawaka in less than a minute! Sijui ni mechanical error au nini?DAWA YAKE TAA ZIACHWE ZIFANYE KAZI YAKE KWANNI IMETIMIKA FEHDA NYINGI KUZIWEKA PALE......KAMA VP ZING'OENI TUJUE KIMOJA KWAMBA HAZINA MAANA KWETU.