havumilakiniyumo
Member
- Mar 19, 2016
- 16
- 5
Ofisi za ardhi Manispaa ya Mtwara mikindani ni jipu la kupasuliwa haraka kwa kuwa limeiva.
Hawa jamaa wanadai rushwa balaa! Kwa mfano ukitaka ufanyiwe kazi yako lazima utoe pesa, huwezi kufuata taratibu zilizopo ukafanikiwa kwa kuwa watakukwamisha tu...
Ni kuanzia vitengo vyote kwa kuwa wanashirikiana hawa. na wanajua ni nani anakula nini.
Sina hakika kama mkurugenzi anajua. ila mabosi hawa wa ardhi wanajua vizuri.
Ili kuhakiki hili nenda na ombi lako uliza taratibu za kufanya jambo fulani uone utakavyozungushwa.
Hawa jamaa wanadai rushwa balaa! Kwa mfano ukitaka ufanyiwe kazi yako lazima utoe pesa, huwezi kufuata taratibu zilizopo ukafanikiwa kwa kuwa watakukwamisha tu...
Ni kuanzia vitengo vyote kwa kuwa wanashirikiana hawa. na wanajua ni nani anakula nini.
Sina hakika kama mkurugenzi anajua. ila mabosi hawa wa ardhi wanajua vizuri.
Ili kuhakiki hili nenda na ombi lako uliza taratibu za kufanya jambo fulani uone utakavyozungushwa.