Habari
kumekuwa na changamoto sana kwenye soko la ajira vijana wengi sana wapo mtaani na wanasiasa wamenukuliwa mala kadhaa waki waambia vijana wajiajiri. Laba ushauri wao ni bora lakini leo nita ongelea kwa upande mwingine
Kwa research fupi nilio fanya vijana wengi ambao wamemaliza masomo wamekuwa waki hangaika sana kwenya swala la ajira ambayo ni changamoto kubwa sana ambayo sioni serikali kama ina lifanyia ufumbuzi ukifatilia
Tasisi nyingi za serikali zikitaka kuajiri ni kupitia utumishi na kumekuwa na wingi wa vijana inapo tokea kazi kutangazwa ila taasisi nyingi zina intern sasa namba nizungumzie kuhusu hawa vijana wanao jitolea kwenye mashirika ya serikali
Vijana wengin wanao jitolea wanapata faida ya uzoefu kazini ila wamekuwa wanafanya kazi na kuwa faida sana kwenye baadhi ya taasisi ila kwann vijana hawa hawapati ajira za moja kwa moja wamekuwa wakipew ahadi kadha wa kadha kipi kinacho kwamisha vijana hawa kuajiliwa kuna taasisi ambazo zina intern wengi unakuta kitengo kizima asilimia kubwa kina endeshwa na vijana wanao jitolea je serikali bado aijaona manufaa ya vijana hao au ni kipi hasa kina kwamisha kuawapa ajira ya kudumu maana wamekuwa ni chachu ya mafanikio ya taasisi nyingi mfano TTCL,NSSF,WCF nk
Leo nimeona niongelee ilo kuna siku nitakuja kuongelea kazi wanazo fanyishwa vijana hawa
Brela ni tatizo zana wanamkwamisha sana juhudu Za wawekeaje wanajifanya wanajua kila.kitu yaani mtu uko huko ndani maporini umeamua kusajili biashara yako wanachukua hela na wanakusumbua eti hujaeleźea viZuri location una print mara nyingi sana hadi inaźidi hela ya kulipia kwao
Matatizo yapo huku mtaani kuna miradi ya uzoaji takataka imeshakuwa Keri maana kwa mwezi watu wanakusanya zaidi ya milioni 10 lakini mradi wenyewe kwa mwezi ni laki 4 tuu. Ukiuliza hizo milionis nyingine zinakwenda wapi hakuna jibu. Hii ndio nchi ya Tanzania ya Mama
Muda wa kuanza huduma hospitali au vituo vya afya vya umma ni tatizo. Usafi unafanywa kuanzia saa 2. Wodini ndo usiseme, kunanunuka, majibu yanasikitisha!
kwa nini usisafishe wewe mtumiaji? Huna ubwana mkubwa wowote.
Kutumia hovyo utumie wewe akusafishie mwigine kwa hela gani uliyo nayo.
Anaenukisha ni wewe mtumiaji huduma. Huoni hata aibu?
siyo wafanyakazi wa ward kwa malipo gani manono ya huyo mfanya kazi unadhani...mnastahili hayo kwa tabia zebu chafu.
Km vipi nenda Agakhani pasafi kwa wasafi uone gharama zake.nyie wachafu mnastahili uchafu msilie.unatoka kwa mtogole unataka pawe km agakhani mweee!! Si kila mswahili ataomba kulazwa!!
Unatamani pawe km TMJ Hosp??? Ni gharama zile nenda kaonje huduma bora kwa walio barikiwa maskini wewe....
kwa nini usisafishe wewe mtumiaji? Huna ubwana mkubwa wowote.
Kutumia hovyo utumie wewe akusafishie mwigine kwa hela gani uliyo nayo.
Anaenukisha ni wewe mtumiaji huduma. Huoni hata aibu?
siyo wafanyakazi wa ward kwa malipo gani manono ya huyo mfanya kazi unadhani...mnastahili hayo kwa tabia zebu chafu.
Km vipi nenda Agakhani pasafi kwa wasafi uone gharama zake.nyie wachafu mnastahili uchafu msilie.unatoka kwa mtogole unataka pawe km agakhani mweee!! Si kila mswahili ataomba kulazwa!!
Unatamani pawe km TMJ Hosp??? Ni gharama zile nenda kaonje huduma bora kwa walio barikiwa maskini wewe....
Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.
Karibuni sana.
MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.
Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati. Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli...
Kwa mda mrefu nimekua nikisubir mama atoe tamko au afanye jambo pale kwenye wizara nyeti hasa inayogusa maisha ya watanzania moja kwa moja naona mama yuko kimya tu km vile alikua aoni wakati janga linakula watu km muchwana kuna mkulu mmoja tena anajiita Musomi sijui wa Phd anajifunika na kujifukiza mara anakunywa mwarobaini saiv yuko busy anavaa barakoa 24/7 na ameshaua watu wetu kwa kushindwa kuchukua hatua sijui bado anafanya nin?
Pale yule msaanii wa Bongo fleva mama nakusihi fanya jambo kwa ajiri ya watanzania yule Dr wa miti shamba afai kuwa mkulu wa kitengo cha afya pale HQ.
Mambo mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli yafuatuliwe kwa karibu. Narudia yake mazuri, na nitataja machache.
1. Ufisadi,uonevu ubadhirishaji. Kwa mfano matukio ya kupindisha mambo...kwa sasa imerudia wananchi wakiuza au kununua shamba au nyumba Ofisi za serikali za Mitaa kudai 10% hii naona imerudia kwa kasi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.