Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Huyu mama kila awamu yupo inaonekana ana connection kali sana.
Praise and worship, snitching!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama kila awamu yupo inaonekana ana connection kali sana.
Huyo mama sijui hata huo uwaziri huea anaupata kwa sifa ipiSijui ana Gundu au anamshauri vibaya Raisi au anamdanyanya ukute😄
alipoingia alisema wanainginza data kwenye mfumo mpya wa HCMIS ili walipe! ishapita mwaka sasa watu wanadai malimbikizo muda mrefu!
Je mambo ya mwendazake kudharau madai halali yanaendelea?
Je jenista haona kuwa watu wanateseka na madai yao au anapuuzia! au ana gundu atolewe hapo!?
Yaan anadunda tu na ka Diploma kake!
Hii ni high profile humo ndani inalipa sanaPraise and worship, snitching!
Mchengerwa is better.Huyo tangu enzi za mwendazake Huwa hana Mpango na hayo,Hata Kairuki nae ni wale wale!
Mchengerwa alijitahidi Sana,lakini wahuni sijui walitanyaje akatolewa!
Wabara hatupendani kabisa!!
Ni aibu tupu!
Mawaziri Mizigo waliosemwa na Kinana huyu ni number 1Yani huyu mama ni kati ya mawaziri mizigo hana jipya hana ubunifu ila kiila awamu yy ni wazir aisee ccm inajua sana kutuchezea watanzania
Mchapa kaziHuyu mama kila awamu yupo inaonekana ana connection kali sana.
wanamdanganya mama hawaMbona tunasikia Vyeti fake wamelipwa tunasikia Watumishi waliokuwa wanadai Mslimbikizo wote wamejazwa Manoti huku MAMA AKIUPIGA MWINGI SANA
Sio kweli kwa mwaka huu wa fedha hakuna aliyelipwa labda vigogo huko juu zimejaa propaganda za kusema kusema tumelipa madai au tunaendelea na uhakiki . Sisiyemu lipeni malimbikizo ya watu ili kuongeza ufanisi katika kuutumikia umma wa watanzania.Utendaji kazi sekta za umma uko chini sana tofauti na mnachoambiwa na watoa taarifa wenu wasiotaka kuwaambia realityMbona tunasikia Vyeti fake wamelipwa tunasikia Watumishi waliokuwa wanadai Mslimbikizo wote wamejazwa Manoti huku MAMA AKIUPIGA MWINGI SANA
Huyo mama sijui ana dawa gani kila Rais huwa anampeleka utumishi kwenda kuharibuSijui ana gundu au anamshauri vibaya Raisi au anamdanyanya ukute😄
Alipoingia alisema wanainginza data kwenye mfumo mpya wa HCMIS ili walipe! Ishapita mwaka sasa watu wanadai malimbikizo muda mrefu!
Je, mambo ya mwendazake kudharau madai halali yanaendelea?
Je, jenista haona kuwa watu wanateseka na madai yao au anapuuzia! au ana gundu atolewe hapo!?
Yaan anadunda tu na ka Diploma kake!
Una uhakika hakuna watu wanaomzunguka ili wewe udhani kuwa ni yeye?Sijui ana gundu au anamshauri vibaya Raisi au anamdanyanya ukute😄
Alipoingia alisema wanainginza data kwenye mfumo mpya wa HCMIS ili walipe! Ishapita mwaka sasa watu wanadai malimbikizo muda mrefu!
Je, mambo ya mwendazake kudharau madai halali yanaendelea?
Je, jenista haona kuwa watu wanateseka na madai yao au anapuuzia! au ana gundu atolewe hapo!?
Yaan anadunda tu na ka Diploma kake!
hapa ndipo shida inapoanziaWaziri wa utumishi ni diploma holder
sasa wanapomruhusu Rais aongee hadharan kuwa mwez flan tunalipa madeni ya watumishi halafu anakausha hatekelezi ahadi je anayemwaibisha si Rais?Kama Mwigulu ajamtengea hizo hela, utamtukana bure huyo Jenista au unadhani anamlaka ya kumwamuru waziri wa fedha atoe hayo malipo.