Tokea Jenista Mhagama apewe Wizara ya Utumishi hakuna aliyelipwa malimbikizo

Tokea Jenista Mhagama apewe Wizara ya Utumishi hakuna aliyelipwa malimbikizo

sasa wanapomruhusu Rais aongee hadharan kuwa mwez flan tunalipa madeni ya watumishi halafu anakausha hatekelezi ahadi je anayemwaibisha si Rais?

kama hakuna ni bora waseme hakuna! kuliko kujitapa halafu hakuna kitu
Yeye Kesha fanya yake Jenista ya kutaka mjaze hizo from, baada ya hapo elewa malipo sio mamlaka yake ni ya waziri wa fedha.

Lawama zinazofuata ni ‘mbuzi wa kafara’ akiwa kama waziri wa sector husika. Lakini in practice hana hayo mamlaka ya kuidhinisha hizo fedha, huo ndio uhalisia wenyewe.

Mtu mwenye mamlaka ya ku force hayo malipo ni raisi and that depends with other current budgetary obligations za serikali na jinsi Mwigulu atavyoweza mudu hayo majukumu ya kifedha akitoa hizo hela kuwalipa.
 
Yeye Kesha fanya yake Jenista ya kutaka mjaze hizo from, baada ya hapo elewa malipo sio mamlaka yake ni ya waziri wa fedha.

Lawama zinazofuata ni ‘mbuzi wa kafara’ akiwa kama waziri wa sector husika. Lakini in practice hana hayo mamlaka ya kuidhinisha hizo fedha, huo ndio uhalisia wenyewe.

Mtu mwenye mamlaka ya ku force hayo malipo ni raisi and that depends with other current budgetary obligations za serikali na jinsi Mwigulu atavyoweza mudu hayo majukumu ya kifedha akitoa hizo hela kuwalipa.
porojo
 
Nilisema hapo "Jenister ni ktk kupunguza speed ya matokeo chanya"

Wale waliochomolewa walikuwa na speed sana katika uwajibikaji.

Jessica ni kama foleni tu wateja wa Bank ,inasogea taratibuùuuuuu
 
Mbona tunasikia Vyeti fake wamelipwa tunasikia Watumishi waliokuwa wanadai Mslimbikizo wote wamejazwa Manoti huku MAMA AKIUPIGA MWINGI SANA
Uongo ni sehemu ya nguzo kuu za ccm , wametoa natumaini hewa halafu kumbe hela hawana !
 
Sijui ana gundu au anamshauri vibaya Rais au anamdanyanya ukute😄

Alipoingia alisema wanainginza data kwenye mfumo mpya wa HCMIS ili walipe! Ishapita mwaka sasa watu wanadai malimbikizo muda mrefu!

Je, mambo ya mwendazake kudharau madai halali yanaendelea?
Je, Jenista haona kuwa watu wanateseka na madai yao au anapuuzia! au ana gundu atolewe hapo!?

Yaan anadunda tu na ka Diploma kake!
Huyu Mwanamke ni Jini kila sehemu hana tija nadhani ndumba sana huyu sio Bure
 
mwaka umeisha hakuna malimbikzo ya madai ya wafanyakaz! Jenista Mungu anakuona na uchawi wako unaobeba njombe huko
 
Back
Top Bottom