Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo Blair ni dalali hatari sanaView attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Is this satire?😆😆 Tony blair the war criminal?Amekuja kumkumbusha mama utawala bora wa sheria na haki za binadamu na aache kuwaogopa wanaomzunguka.
Michael Jackson ndo atashikwa na presha kabisa.Yani mtu aliemkufa miaka 5 nyuma akifufuka leo aone viongozi wa dunia wanavyovaa mabarakoa atashangaa Sana
Mkuu mbona unaandika kinyaaa?Tony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja, mimi nitamuoa USSSR au Elitwege.
Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.
kkkkk
Nime edit mkuu kkkkkkMkuu mbona unaandika kinyaaa?
Muulize Lissu ndio mpanga ratiba wa ziara za viongozi wastaafu wote wa ulaya!View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Mbariki kwanza, au umesahau kazi yako.Swali ni hili , Amefuata nini ?
Usikute amekuja kugawa mbegu😂😂😂Amekuja kumkumbusha mama utawala bora wa sheria na haki za binadamu na aache kuwaogopa wanaomzunguka.
Hakika Mwamba yuko mbioni kurudi uraiani ili kuendeleza harakati za katiba mpya kuelekea Tanzania mpya.
Mshauri wa PK,connect the dotHuyu si alikuwepo nchini juzijuzi hapa?
Anafuata nini huku?
Ile biashara kati ya Jiwe na PK ya madini nahisi huyo Muuaji Blea ndiye anayeongooza mchongo mzima. Nasikia kuna mpunga mrefu PK alimzima Jiwe na hataki uguswe wakati madini ni yetu.Mshauri wa PK,connect the dot