kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Wenye kujua hatari ya mabeberu hatufurahi kumuona tonny blaire kujakuja kwa samia. Huyu ni dalali tu tutauziwa huduma wala hatuhitaji.View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?