Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Tony Blair amefuata nini Tanzania?

View attachment 1957478

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .

Swali ni hili , Amefuata nini ?
Huyu jamaa ni dalali wa ibilisi!! Amekuja kuweka shinikizo kwa mama kuhusu corona!! Hana agenda zaidi ya hiyo ! Ni wakala mku wa wa ibilisi!! Hafai!! Mama mtolee nje huyo, atakuponza! Usimsikilize!! Tuweke sheria: Ni marufuku mzungu aliyewahi kuvaa barakoa kuingia ikilu yetu !
 
Balair we are declaring that as from now you are PERSONA NON GRATA in Tanzania!!
 
Tumeshindwa kujitawala, labda amekuja kujadili ukoloni urudi.
 
Katika ustawi wa jamii yako na familia yako, ndoa za jinsia moja zinakutatiza nini? what is so special with ndoa moja. As long as hawaingilii maisha ya wengine in whatever way, ya mtu yeyote let them live their life they think fit!
Ni wewe au ni mwingine
 
View attachment 1957478

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .

Swali ni hili , Amefuata nini ?
Tony Blair ni jambazi wa kawaida. Amekuja kwa vile kibaraka wake na jambazi mwenzake Kikwete amerejea madarakani kwa mlango wa nyuma. Huo ni mwanzo. Mtaona wengi tu chini ya utawala huu
 
ushahidi? ach mambo ya vicoba
Hawa yatima wa Mwendazake ni kama wamechanganyikiwa kwa sasa! Hawaamini kinachowatokea, walijaribu kumfitini Rais ndani ya chama na Serikali lakini wameshindwa, sasa wanatapatapa!! Wameharibu kila sehemu, Upinzani hawakubaliki na ndani ya CCM ndiyo hawana chao kabisa!! Hapa ndiyo nazikumbuka siasa za Lowassa, alitukanwa sana na wapinzani, hakuwahi kujibu chochote, siku aliyokuwa na uhitaji wapinzani hao hao walimsitiri (nadhani nao walijishtukia kwa uungwana aliokuwa nao mzee Ngoyai).
 
Tanzania inazidi kuchanua KIDIPLOMASIA.....
Siyo kweli!! Blair has nothing to do with our affairs!! Nadhani wanahisi shamba la bibi limerudi!! Wanataka kipiga pesa na si vinginevyo. Kuna biashara kubwa ya corona!! Wanatumia corona kutufanya watumwa!! Wanalazimisha kutukopesha pesa nyingi kwa masharti ya kununua vifaa na madawa ya kupima corona, kununua chanjo, na zoezi hili wamelipanga kuwa endelevu!! Wanakuambia chanjo moja wala mbili hazitoshi!! Nebu fikiri kidogo tu, ni sh ngapi zinahitajika kuwapima watanzania wote na kuwapa chanjo mbili watanzania wote ambazo hata hivyo hazitoshi!! Hizo pesa wanazotukopesha kwa lazima na kwa riba tunawarudishia tena maana kila kitu tunanunua kwao. Halafu na deni endelevu tutaendelea kulilipa vizazi vyetu vyote!! Ni utumwa wa kutisha!! Hawa hawapaswi kuwachekea!! Halafu siyo siri, wanatumia rushwa sana!! Ukikaa vibaya wanakufanyia blackmail!! Hii taka taka Bleya itukome!!
 
Back
Top Bottom