Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wa Fabian Society😁Blair ni kiongozi wa nchi gani ?
Do not worry though this is a second time in less that 2 months as he was in Tz on 22/7/22021 (Tanzania’s President Samia meets former UK PM Tony Blair in Dar)View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Lini tumeshawahi kuwa na UHURU wa kujitenga na dunia?!!!Siyo kweli!! Blair has nothing to do with our affairs!! Nadhani wanahisi shamba la bibi limerudi!! Wanataka kipiga pesa na si vinginevyo. Kuna biashara kubwa ya corona!! Wanatumia corona kutufanya watumwa!! Wanalazimisha...
MmmmhTony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja.
Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.
kkkkk
Ahsanteeeeeeeeeeeh sana!!. Ubarikiwe mno.Katika ustawi wa jamii yako na familia yako, ndoa za jinsia moja zinakutatiza nini? what is so special with ndoa moja. As long as hawaingilii maisha ya wengine in whatever way, ya mtu yeyote let them live their life they think fit!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo tunaishi kwa wasiwasi sana kila mgeni akiingia tunahisi kama tunataka kupigwa [emoji1787][emoji1787]
Wape maarifa hawa watu, waeleze waeleze [emoji122][emoji122][emoji122]AS long as ni adult age, ni maisha yake. Tatizo ni kuwa unatawaliwa na mila bila kuwek upande kuwa dunia siyo ya 1961 wakati tunapata so called uhuru.
View attachment 1957478
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameonekana kwenye Ikulu ya Tanzania akizungumza na Rais Samia Suluhu , tunashukuru sana kwa Mkubwa huyu kutukumbuka .
Swali ni hili , Amefuata nini ?
Kaja kutalii tu wajameni🤸Nikiwa nashuhudia sasa ni mara ya pili kwa waziri mkuu mstaafu wa Uingereza kuwasili nchini Tanzania ndani ya mwaka huu. Sasa wachambuzi wa mambo naomba michango yao, juu ya safari zake nchini Tanzania maana ni kiongozi mkubwa duniani.
Au mpango wa kubadilishana wafungwa kwa kisiasa😂Kuna kitu wamekiona wanakiwinda na maza alivokazania CHANJO watabadilishana na [emoji382][emoji382][emoji382]
Kwa hiyo wewe upo tayari kwa ndoa za jinsia Moja [emoji848][emoji848] Ili mradi tu upate misaada?!Tony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja.
Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.
kkkkk