Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Kuna mfalme wa Jordan noma Sanaa

USSR
Mali za mfalme wa Jordan

USSR
Screenshot_20211003-213447.jpg
Screenshot_20211003-213748.jpg
Screenshot_20211003-213755.jpg
Screenshot_20211003-213804.jpg
Screenshot_20211003-213550.jpg
 
Tena Tony Blair amekwepa kodi kubwa sana kwenye manunuzi ya jengo na ofisi waliyonunua yeye na mkewe huko UK.

Uhuru Kenyata na members kadhaa wa nchi yake pia wamekua exposed kwenye hii pandora wao wanamiliki utajiri wa kutisha kwenye michakato 11 iliyobainika.
Ile nyumba ilikua sokoni kwa £m5
 
Japo sijaona jina lake hapo, ila ikulu yetu siamini kama ina watu weledi waku deal na haya mambo, hii serikali iko weak sana kwenye suala la kufuatilia information za watu na kuzifanyia kazi kabla ya utekelezaji wa jambo husika, kuanzia teuzi mpaka haya mambo ya Blair ni vurugu tupu.
Hivi blair anakuha kuiba nini tanzania?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Jizi kama Jiwe na Group lake. Hata hizo pesa huenda walikuwa wanaficha kwa Tony Blair ndio maana anakuja Ikulu wagawane Mirathi.
Bange mbaya Sana.
Hasa ukiivuta pembezoni mwa zizi la ng'ombe huku ukiota Moto wa samadi yake na hakuna hata kiazi Cha kuchoma.
Lazima uparamie makande Kama wewe ulivyoparamia mambo ya JPM mwamba,katika thread hii
 
Bange mbaya Sana.
Hasa ukiivuta pembezoni mwa zizi la ng'ombe huku ukiota Moto wa samadi yake na hakuna hata kiazi Cha kuchoma.
Lazima uparamie makande Kama wewe ulivyoparamia mambo ya JPM mwamba,katika thread hii
Bangi sip kabisa

USSR
 
Sukuma gang Mko busy kutafuta kila mbinu kumchafua Mama ila mlisha fail mkubali Tu ndo imetoka SSH Ndo Rais WA Tanzania mpaka 2030
Unalazimisha watu waanze kuweka kumbukumbu ya orodha ya 'chawa' wa 'Maza Mizinguo'. Inabidi nianze na wewe.
 
Ile nyumba ilikua sokoni kwa £m5
Hivi hakuna anayejuwa Kikwete anazo mali kiasi gani, maana sikuwahi hata siku moja kusikia akisemwa kwa lolote isipokuwa udhaifu wake wa kuruhusu marafiki zake kufanya ufisadi.

Mali za Kikwete ni zipi na zipo wapi?

Naona kazificha kwa umahiri mkubwa.
 
Japo sijaona jina lake hapo, ila ikulu yetu siamini kama ina watu weledi waku deal na haya mambo, hii serikali iko weak sana kwenye suala la kufuatilia information za watu na kuzifanyia kazi kabla ya utekelezaji wa jambo husika, kuanzia teuzi mpaka haya mambo ya Blair ni vurugu tupu.
Iko bize na upinzani
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.
Kama lugha huielewi, uwe unaomba msaada au hata kutumia dictionary badala ya kusambaza uongo!!
 
Mkuu acha uongo
Wamesema kuwa Blair alinunua nyumba bila kulipa kodi
Tena kimsingi sio kwamba amekwepa kodi
Sasa sio ufisadi nini acha ukilaza kijana ,tukokulipa kodi huko ulaya au wakati wa awamu ya tano ilikuwa noma

USSR
Naruadia, kama lugha inakupiga chenga, uwe unatumia angalau dictionary!!

Kilichotokea ni kwamba, Tony Blair amenunua shares za kampuni iliyopo/iliyosajiriwa Virgin Island!!

Hiyo kampuni inamiliki nyumba tajwa !!

Kwavile Blair amenunua shares za hiyo kampuni, automatically anakuwa mmiliki wa hiyo nyumba!!

Sasa basi, Virgin Island, kama zilivyo sehemu zingine kama hizo, yenyewe ni Tax Heaven!!

Na kwavile Blair amenunua kampuni kutoka tax heaven area, it means hakulipa kodi yoyote, na sio kwamba amekwepa bali ndo sheria zenyewe za Virgin Island!!
 
Tena Tony Blair amekwepa kodi kubwa sana kwenye manunuzi ya jengo na ofisi waliyonunua yeye na mkewe huko UK.
Blair hajavunja sheria yoyote!!!

YES, nyumba ipo London ambako angenunua Blair angelazimika kulipa kodi!!

Hata hivyo, Blair hakununua nyumba bali amenunua shares za kampuni inayomiliki hiyo nyumba!!

Kampuni inayomiliki hiyo nyumba imesajiriwa/makazi yake ni Virgin Island.

Virgin Island ni Tax Heaven US Territory! Na kwavile ni tax heaven, Blair hakulipa kodi wakati ananunua hizo shares kwa sababu!!

Na kwavile hakulipa kodi wakati wa kununua hizo shares, automatically nyumba anakuwa ameipata bila kulipa kodi... hapa sio kwamba amekwepa, sheria ndo zipo hivyo!!

Hapo Blair atakuwa na hatia endapo itaonekana hapo kabla nyumba haikuwa mali ya kampuni husika, lakini baadae ikamilikishwa kwa hiyo kampuni (sijui HOW) ili hatimae Blair aweze kununua hisa za kampuni and in turn aweze kumiliki nyumba!!
 
Back
Top Bottom