Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Tony Blair amefuata nini Tanzania?

Tony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja.

Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.

kkkkk
Ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu, huyo unayemuongelea ni David William Donald Cameron.
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.

Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani

Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia


USSR
Screenshot_20211003-204112.jpg
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.

Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani

Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia


USSRView attachment 1961891
Mkuu .
Wamesema kuwa Blair alinunua nyumba bila kulipa kodi kwa kutumia loophole ambayo ipo kisheria

Alinunua kampuni ambayo inamiliki hio nyumba automatically property ikawa yao.
Angekuwa mwananchi wa kawaida angelipa hio kodi.
Kisheria zao za tax hana kosa
 
Japo sijaona jina lake hapo, ila ikulu yetu siamini kama ina watu weledi waku deal na haya mambo, hii serikali iko weak sana kwenye suala la kufuatilia information za watu na kuzifanyia kazi kabla ya utekelezaji wa jambo husika, kuanzia teuzi mpaka haya mambo ya Blair ni vurugu tupu.
 
Wabongo tuna roho za walakini sana.fikiria kuhusu uwekezaji ,hayo mengine muombe mungu tu
 
Before you open your mouth engage a brain.
Hata Mwenyekiti Mao aliwahi kusema no research no right to speak.
Jiongeze kwanza,unatusi na kukashfi Tony Blair hivi unamjua huyo mtu?
Wewe kweli huna sifa.....
 
Before you open your mouth engage a brain.
Hata Mwenyekiti Mao aliwahi kusema no research no right to speak.
Jiongeze kwanza,unatusi na kukashfi Tony Blair hivi unamjua huyo mtu?
Wewe kweli huna sifa.....
Kwenu ni matusi mtu kuwa fisadi ,hoja ya chadema ya dk slaa umeisahau

USSR
 
Tena Tony Blair amekwepa kodi kubwa sana kwenye manunuzi ya jengo na ofisi waliyonunua yeye na mkewe huko UK.

Uhuru Kenyata na members kadhaa wa nchi yake pia wamekua exposed kwenye hii pandora wao wanamiliki utajiri wa kutisha kwenye michakato 11 iliyobainika.
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.

Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani

Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia


USSRView attachment 1961891

Ikulu yetu ilikuwa nan heshima enzi za Nyerere, kwa sasa inakaliwa na mijizi ya kura, mitekaji, mafisadi na uchafu mwingine wa aina hiyo. Pamoja na huo uchafu wa Tony Blair,lakini angekuwa rais wetu bado angekuwa na afadhali sana kulinganisha na uchafu wa viongozi walioingia ikulu baada ya Nyerere.
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.

Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani

Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia


USSRView attachment 1961891
Si ni rafiki yenu CCM huyu?? Ndege wafananao huruka pamoja
 
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.

Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani

Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia


USSRView attachment 1961891
Baada ya Hiyo List kwa wizi anafata Jiwe.
 
Mbona Rais wa Urusi inajulikana kitambo kwamba ni fisadi mkubwa duniani. Na wenzie akina Abramovic ndio walioshikilia Urusi. Hao wamejitengenezea dunia ya kwao ndani ya dunia hii. Hakuna wa kuwaweka kati kama zilivyo nchi za ulaya na Marekani,ambako ukijulikana umefisadi jera utaingia.

Hata raia wake wanalijua hilo. Lakini nani wa kuthubutu kumsema nchini mwake?. Kama kesho hujaokotwa ufukwe wa coco beach kwenye kisafet.

Hata M7 na kagema ndiko walikochukua sera zao. Na mwendazake ilikuwa ndio ziwe sera zake.
 
Back
Top Bottom