Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Hili linaweza kuwa na ukweliAu mpango wa kubadilishana wafungwa kwa kisiasa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linaweza kuwa na ukweliAu mpango wa kubadilishana wafungwa kwa kisiasa[emoji23]
Ukimaanisha[emoji848][emoji848]Au mpango wa kubadilishana wafungwa kwa kisiasa[emoji23]
Ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu, huyo unayemuongelea ni David William Donald Cameron.Tony Blair alimwambia Mugabe kama hutaki ndoa za jinsia moja misaada utaisikia kwenye bomba.
Tujiandae ndoa za jinsia moja.
Wiki ijayo baba la baba David Cameron naye anakuja.
kkkkk
Mkuu .Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.
Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani
Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia
USSRView attachment 1961891
Sasa sio ufisadi nini acha ukilaza kijana ,tukokulipa kodi huko ulaya au wakati wa awamu ya tano ilikuwa nomaMkuu acha uongo
Wamesema kuwa Blair alinunua nyumba bila kulipa kodi
Kwenu ni matusi mtu kuwa fisadi ,hoja ya chadema ya dk slaa umeisahauBefore you open your mouth engage a brain.
Hata Mwenyekiti Mao aliwahi kusema no research no right to speak.
Jiongeze kwanza,unatusi na kukashfi Tony Blair hivi unamjua huyo mtu?
Wewe kweli huna sifa.....
Wewe unamsikiliza huyo mpungukiwa kichwani?Hivi kweli ikulu yetu ndo kubwa kuliko zote?
Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.
Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani
Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia
USSRView attachment 1961891
Si ni rafiki yenu CCM huyu?? Ndege wafananao huruka pamojaHabari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.
Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani
Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia
USSRView attachment 1961891
Baada ya Hiyo List kwa wizi anafata Jiwe.Habari kuu usiku wa leo ni wizi mkubwa aliufanya mshikaji wake na Mama waziri mkuu wa zamani wa UK bwana Tonny Blair na kuwa fisadi namba moja kwa wizi wa fedha za umma akishirikiana na mke wake akiwa ikulu.
Pandora papers Leo umemuanika pia mfalme wa Jordan, rais wa urusi kuwa vinara wa wizi wa pesa za umma wakiwa madarakani
Kwa hizi safari za leo kesho za Blair mwenye ikulu yetu kubwa kuliko zote duniani na kukaa kitako na mama Samia
USSRView attachment 1961891
Kuna mfalme wa Jordan noma SanaaDha nimeona hii report, kuna watu wapepiga pesa aise