kweli, kumekucha na makucha yakeKumekucha Leo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli, kumekucha na makucha yakeKumekucha Leo mbona
Nifah[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Yani wewe kaka kugombana na mpenzi wako kisa kakataa kuja kwako ndio yamefika hadi huku?
Kwanini umekosa hekima na adabu kiasi hiki? Yeye ana miaka 29 tu unamuona mzee,wewe mwenye 38 sijui 39 tukuite nani?
Kisa mtoto wa watu amekupenda na umeona anataka kuolewa ndio unatake advantage.
Kuolewa sio pumzi tuseme usipomuoa atakosa kuishi,acha kashfa na dharau.
Yani una bahati msichana wa watu ni mpole,ningekuwa mimi ungekoma.
Behave bhana,acha mambo zako hizo.
Usiniulize nimekujua vipi maana sitokujibu.
Mithiyuuuu tuuu,.umenisulaaa[emoji85]Mumu, dadangu upo!!!
Mithi you sanaaaa
daaaaaaah yaaaaniiiiiiiiii nimekukosea jibu ngoja nikae kimya Yesu nifundishe kunyamaza uwiiiiiiHii habari ya kumnyima papuchi mtu ambaye amekuhakikishia kukuoa, eti tu kwasabb wengi waliwahi kutumia mbinu hiyo kisha wakamega na kusepa, itawakimbiza wachumba wengi. Mtaishia kuvaa sare kwenye harusi za wenzenu.
As long as ulianza kwa kugawa hovyo, basi mpe hata huyu ambaye kaja sasa. Huwenda ana nia njema ya kukuondolea nuksi ya kuendelea kuwa jamvi la wageni.
Achana na mtindo wa kuanza kutii maelekezo ya wazazi at your late 20s,kwasabb tu unataka kuolewa. It's too late. Nani atarudi kwako tena na uzee wako huo? Ndiyo. At your late 20s, wewe ni mzee!
Wakati wewe na uzee wako unabania mtoto wa miaka 19 anagawa bila hiana, kwa kihepe (chips) tu.
Shauri zenu
Na iwe hivyo...samburadaaaaaaah yaaaaniiiiiiiiii nimekukosea jibu ngoja nikae kimya Yesu nifundishe kunyamaza uwiiiiii
Naombeni nikae kimya wakuu [emoji120]Duuh, kumbe unamfahamu zaidi ya hapa? [emoji15]
Nifah[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Aise pole kwa huyo binti...Haswaaaaa binti wa watu ni Mchamungu,sio sawa na wadada micharuko wa mjini.
Kamdhalilisha sana,yani hapa akilogwa tu anijibu mbovu leo amekwisha.
Kwanza huu uchafu wake anaopost huku nitauanika kwa familia ya binti.
Huyu mwanaume ni mshenzi sana.
Hii habari ya kumnyima papuchi mtu ambaye amekuhakikishia kukuoa, eti tu kwasabb wengi waliwahi kutumia mbinu hiyo kisha wakamega na kusepa, itawakimbiza wachumba wengi. Mtaishia kuvaa sare kwenye harusi za wenzenu.
As long as ulianza kwa kugawa hovyo, basi mpe hata huyu ambaye kaja sasa. Huwenda ana nia njema ya kukuondolea nuksi ya kuendelea kuwa jamvi la wageni.
Achana na mtindo wa kuanza kutii maelekezo ya wazazi at your late 20s,kwasabb tu unataka kuolewa. It's too late. Nani atarudi kwako tena na uzee wako huo? Ndiyo. At your late 20s, wewe ni mzee!
Wakati wewe na uzee wako unabania mtoto wa miaka 19 anagawa bila hiana, kwa kihepe (chips) tu.
Shauri zenu
tushaweka lock hatutaki tenaNawaambiaga kila siku kubana papuchi hakuta waongezea thamani yoyote ...na ktk dunia ya Leo hakuna mwanaume atakubali aoe bila kuonja mzigo never
kitumbua kugongwa ni haki yke kbisaaaa...hiyo haina ubish.Bora kiliwe na nyenyere
HahahaaKumekucha Leo mbona
Umenyimwa mzgo et..?? Pole ndugu yangu ongeza bidii katika kushawishi[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hii habari ya kumnyima papuchi mtu ambaye amekuhakikishia kukuoa, eti tu kwasabb wengi waliwahi kutumia mbinu hiyo kisha wakamega na kusepa, itawakimbiza wachumba wengi. Mtaishia kuvaa sare kwenye harusi za wenzenu.
As long as ulianza kwa kugawa hovyo, basi mpe hata huyu ambaye kaja sasa. Huwenda ana nia njema ya kukuondolea nuksi ya kuendelea kuwa jamvi la wageni.
Achana na mtindo wa kuanza kutii maelekezo ya wazazi at your late 20s,kwasabb tu unataka kuolewa. It's too late. Nani atarudi kwako tena na uzee wako huo? Ndiyo. At your late 20s, wewe ni mzee!
Wakati wewe na uzee wako unabania mtoto wa miaka 19 anagawa bila hiana, kwa kihepe (chips) tu.
Shauri zenu
Huyo dada mwambie akimbie huyu kaka hamfai kwa style hiyo...Ana maneno machafu mnoooo,huyu kaka hafai kabisa ndio maana hadi sasa ana miaka 39 hajaoa.
Inaonekana hata wanawake zake waliopita alikuwa anawanyanyasa hivihivi.
Vale huyu kaka ukiambiwa anavyomtesa huyu binti utaliaaa,namsubiri tu anichefue niyamwage yote.
Nimtafute mshana jr anipe ndele....iyo lock itayeyuka kama toilet paper iliyonyeshewa na mvuatushaweka lock hatutaki tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Watu wanajidanganya na hizi fake ID,tena mbaya zaidi wakipatwa na jambo wanakimbilia kupost huku.Unafaa kufanya kaz usalama wa taifa...ww n zaid ya gwajima ktk kifukunyua vitu[emoji23] [emoji23]
Mtumbue tu hamna namna wanaume kama hawa hawafaiiiiNaombeni nikae kimya wakuu [emoji120]
Hata kwa kumsoma tu hapa utaiona jeuri na dharau iliyoko ndani yake.Asante kwa kutufahamisha kumbe ndivo alivo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona threads za hivi usiku usiku kama huu ujue mleta mada kabanwa sana na genye halafu mchana alibaniwa balaa sasa hasira zake za kule naniliii anazihamishia JF
Mkuu sabuni si ipo nenda tu kajipunguzie machungu,kesho utadaka kasiko bania ujipigie sie hatuwezi kukusaidia humu kwa comments