lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.
NN inategemea unaongelea miaka ipi kwani up to the end of 1990s private (isipokuwa seminaries though sio kwa wanafunzi wote) waliambulia kupokea wale waliofeli au ambao hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule za serekali kwahiyo government ilikuwa ni kwa ajili ya vipanga na ndio maana hata katika top 10 (ukiondoa seminary) hakuna shule ya private ilikuwa ikifua dafu mbele ya government. Siku hizo hata ukimwuliza mwenzio unasoma wapi hakiyanani kama ni private anatamka kwa unyoooonge kwasababu atajulikana alifeli.....Siku hizi kama mwanao anasoma government hutaki hata kutamka hivyo mbele za watu kwani unaonekana ....you are not serious!!
Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE 2. MARIAN 3. FEZA 4. KIBAHA 5. FRANSIS ST 6. KIFUNGILO 7. MAUA 8. ILBORU 9. TABORA 10. KILAKALA
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.
Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu
Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys
Hata mimi sijaelewa sijui ni aibu gani anayoizungumzia.
Halafu kufeli la 7 wala siyo aibu. Na kufeli mtihani wowote ule si aibu.
Ni kweli kaka sbrss, mzzm, feza zilikuw shule flan hivi watu wanaziogopa but feza niliipa credit za kubadilisha low perfomer to top level, sbrss na mzzm zilikuwa zinakuweka kawaida, my twin sister goes to sbrss but hakubadilika sana as form 2 tu tukawa tofauti as ufundishaj wa sbrss haukuwa sawa na feza,
Kuna wanafunzi wengi tu ambao walifaulu kwenda kusoma shule za serikali lakini kwa vile wazazi wao walikuwa na uwezo waliamua kuwapeleka kwenye shule za binafsi kama vile Agha Khan Mzizima na SRSS.
Na miaka hiyo unayoizungumzia wewe ilikuwa ni ujiko kusoma hizo shule. Mimi nimesoma shule binafsi na kamwe sikuwahi kuona aibu na nilikuwa najivunia kusoma hiyo shule na divisheni one na two zilikuwepo za kutosha kabisa.
Kwa hiyo siyo wote na siyo sahihi kusema kuwa wale waliosoma shule za binafsi walifeli mitihani ya taifa ndiyo maana wakasoma shule za private.
Na kwa vile mtu alifeli darasa la saba au form four haimaanishi kuwa yeye si kipanga. Sababu za watu kutopata alama za juu huwa ni nyingi sana.
Kuna wanafunzi wengi tu ambao walifaulu kwenda kusoma shule za serikali lakini kwa vile wazazi wao walikuwa na uwezo waliamua kuwapeleka kwenye shule za binafsi kama vile Agha Khan Mzizima na SRSS.
Na miaka hiyo unayoizungumzia wewe ilikuwa ni ujiko kusoma hizo shule. Mimi nimesoma shule binafsi na kamwe sikuwahi kuona aibu na nilikuwa najivunia kusoma hiyo shule na divisheni one na two zilikuwepo za kutosha kabisa.
Kwa hiyo siyo wote na siyo sahihi kusema kuwa wale waliosoma shule za binafsi walifeli mitihani ya taifa ndiyo maana wakasoma shule za private.
Na kwa vile mtu alifeli darasa la saba au form four haimaanishi kuwa yeye si kipanga. Sababu za watu kutopata alama za juu huwa ni nyingi sana.
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.
Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu
Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys
Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.
Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.
best in Moshi onlyMajengo, nk