Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.