Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

Anayebisha kama tbrboys,kibaha,mzumbe,ilboru,msalato,kilakala,tbrgirls kwamba sio vipaji maalumu basi huyo ni mwendawazimu

Vipaji maalumu kivipi?

Na hivyo vipaji maalumu vimezalisha nini ambacho waweza kuonyesha na kusema 'kile pale ni zao la mwanafunzi mwenye kipaji maalum aliyesoma shule ya wanafunzi wenye vipaji maalum'?

Maana'ke mpaka sasa mimi sijui walikuwa wanatumia vigezo gani kuamua kuwa huyu ana kipaji maalum na huyu hana zaidi ya kuangalia alama mtu apatazo kwenye mitihani yake.

Je, walikuwa wanapewa aptitute test au IQ test au walikuwa wanategemea alama za mtu za matokeo yake ya mtihani wa taifa?
 
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.

Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu

Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys

Mkuu mbona walimshindwa Mwanaasha?
 
Tbrboys,kbh,mzumbe,ilboru. Pcm>aab, pcb>bba,cba>bba,hgl>bba,wakati shule nyingine wanachukua point mbaya mpaka ddc
 
Vipaji maalumu kivipi?

Na hivyo vipaji maalumu vimezalisha nini ambacho waweza kuonyesha na kusema 'kile pale ni zao la mwanafunzi mwenye kipaji maalum aliyesoma shule ya wanafunzi wenye vipaji maalum'?

Maana'ke mpaka sasa mimi sijui walikuwa wanatumia vigezo gani kuamua kuwa huyu ana kipaji maalum na huyu hana zaidi ya kuangalia alama mtu apatazo kwenye mitihani yake.

Je, walikuwa wanapewa aptitute test au IQ test au walikuwa wanategemea alama za mtu za matokeo yake ya mtihani wa taifa?

hii ndio mijadala ya maana,
mwalimu alianzisha shule nyingi sana za ufundi maarufu kama XXX tech, hizi shule zilikuwa zikifundisha masomo maalumu ya engineering kuanzia form one kama vile civil, mechanical, electrical tofauti kabisa na shule nyingine pia zilikuwa ni za kivitendo zaidi kuliko theory kiasi kwamba mwanfunzi akifika form 3 ni fundi kabisa... akimaliza form 4 anaajiriwa viwandani na anafanya kazi bila matatizo.

special schools, hizi mimi huwa nazipinga siku zote kuitwa majina wasiyostahili. Kwanza selection yake ni utata.. katika darasa letu mimi na wenzangu 3 hatukuwahi kuingia top 10 lakini tulikuja kuchaguliwa kuingia special school nakuwaacha top 10 wa miaka yote wakienda shule za kawaida, hakika niliogopa sana kwenda huko maana nilijua naenda kuwa wa mwisho lakini mambo hayakuwa hivyo, chakushangaza huko shule tulikutana na wenzetu kibao walioangukiwa na mazali kama sisi.

kwahiyo ni sahihi zaidi kuziita tech schools as special schools kwakuwa wanasoma masomo maalum, mtoto amesoma special school form 1-6, PCM points 3 anakwenda kusoma electrical eng lakini hajui hata kufix bulb! au anakwenda kusoma comp science wakati hajui hata kuwasha computer!??
Jaribu kuangalia vizuri hawa wanafunzi wa special utakuta amesoma PCM, PCB, CBA, PGM lakini anakwenda kusoma B.com, accounting
 
hii ndio mijadala ya maana,
mwalimu alianzisha shule nyingi sana za ufundi maarufu kama XXX tech, hizi shule zilikuwa zikifundisha masomo maalumu ya engineering kuanzia form one kama vile civil, mechanical, electrical tofauti kabisa na shule nyingine pia zilikuwa ni za kivitendo zaidi kuliko theory kiasi kwamba mwanfunzi akifika form 3 ni fundi kabisa... akimaliza form 4 anaajiriwa viwandani na anafanya kazi bila matatizo.

special schools, hizi mimi huwa nazipinga siku zote kuitwa majina wasiyostahili. Kwanza selection yake ni utata.. katika darasa letu mimi na wenzangu 3 hatukuwahi kuingia top 10 lakini tulikuja kuchaguliwa kuingia special school nakuwaacha top 10 wa miaka yote wakienda shule za kawaida, hakika niliogopa sana kwenda huko maana nilijua naenda kuwa wa mwisho lakini mambo hayakuwa hivyo, chakushangaza huko shule tulikutana na wenzetu kibao walioangukiwa na mazali kama sisi.

kwahiyo ni sahihi zaidi kuziita tech schools as special schools kwakuwa wanasoma masomo maalum, mtoto amesoma special school form 1-6, PCM points 3 anakwenda kusoma electrical eng lakini hajui hata kufix bulb! au anakwenda kusoma comp science wakati hajui hata kuwasha computer!??
Jaribu kuangalia vizuri hawa wanafunzi wa special utakuta amesoma PCM, PCB, CBA, PGM lakini anakwenda kusoma B.com, accounting

Kitu kingine, kuna watu walikuwa wazuri sana darasani na walisoma Tambaza, Azania, Zanaki,Jangwani, na kwingineko kwenye shule za serikali.

Kidato cha nne walipata 1.7 na cha sita 1.3. Sasa iweje hawa hawakwenda kusoma kwenye hizo shule za vipaji maalumu?

Ndiyo maana nauliza hivyo vipaji maalumu walikuwa wanatumia vigezo gani?

Moelex aka Big Moe alisoma shule ya kipaji maalumu?
 
Kitu kingine, kuna watu walikuwa wazuri sana darasani na walisoma Tambaza, Azania, Zanaki,Jangwani, na kwingineko kwenye shule za serikali.

Kidato cha nne walipata 1.7 na cha sita 1.3. Sasa iweje hawa hawakwenda kusoma kwenye hizo shule za vipaji maalumu?

Ndiyo maana nauliza hivyo vipaji maalumu walikuwa wanatumia vigezo gani?

Moelex aka Big Moe alisoma shule ya kipaji maalumu?

JK alipoingia alizifuta hizi shule na wengi tulimuunga mkono lakini kutokana na msimamo yake zikarudi tena! 'special' hilo ni jina tu linalotumika vibaya ingekuwa vizuri kutumia neno 'best performers' maana form 1-4 special, form 5-6 shule za kawaida... vipi kipaji kimeshuka?? au form 1-4 shule za kawaida, form 5-6 special.. vipi kipaji kimepanda???
unknown genius?
 
JK alipoingia alizifuta hizi shule na wengi tulimuunga mkono lakini kutokana na msimamo yake zikarudi tena! 'special' hilo ni jina tu linalotumika vibaya ingekuwa vizuri kutumia neno 'best performers' maana form 1-4 special, form 5-6 shule za kawaida... vipi kipaji kimeshuka?? au form 1-4 shule za kawaida, form 5-6 special.. vipi kipaji kimepanda???
unknown genius?

I'm curious kwa nini alizifuta?
 
I'm curious kwa nini alizifuta?

sababu alizozitoa ni kuleta hali ya ubaguzi kwa wanafunzi.. hawa hivi wale vile.. lakini nae ni kama alikurupuka hivi.. Pia hizi shule hazileti usawa kwenye utoaji wa elimu maana walimu wengi na wazuri wote huwa wanaelekezwa huko na wanafunzi wanaweza kumuondoa mwalimu wasiyemtaka, matatizo ya hizi shule huwa yanashughulikiwa haraka sana tofauti na wengine sasa kama watoto wote wa baba mmoja kwanini mzazi uwabague?
 
sababu alizozitoa ni kuleta hali ya ubaguzi kwa wanafunzi.. hawa hivi wale vile.. lakini nae ni kama alikurupuka hivi.. Pia hizi shule hazileti usawa kwenye utoaji wa elimu maana walimu wengi na wazuri wote huwa wanaelekezwa huko na wanafunzi wanaweza kumuondoa mwalimu wasiyemtaka, matatizo ya hizi shule huwa yanashughulikiwa haraka sana tofauti na wengine sasa kama watoto wote wa baba mmoja kwanini mzazi uwabague?

I see.

Mimi bado nagomba na vigezo vilivyokuwa/vinavyotumiwa kuamua.

Nadhani kuna kuna confusion kati ya good student(s) na gifted student(s).
 
I see.

Mimi bado nagomba na vigezo vilivyokuwa/vinavyotumiwa kuamua.

Nadhani kuna kuna confusion kati ya good student(s) na gifted student(s).

huwezi kupata majibu hapo, mtihani wako wa mwisho ndio mwamuzi... of course siku hizi watoto wa english media ndio wanajaa huko special
 
Uwelewa mdogo sio kombi zote zipo special zilizoko ni baadhi mfano.pcb,pcm,hgl,cba,eca. Ambapo pcb>bba,pcm>aab,cba>bba,hgl>bba,ndio maana unakuta mtu ana i.kali lakini anasoma tambaza kombi kama egm,hge,pgm kwa sababu hizo kombi hazipo kwenye sule za vipaji maalumu tanzania
 
If you felt a really 'big' shame that doesn't mean everybody else did same too.

Or if you think other people felt a really 'big' shame that doesn't mean everybody else did it.

You could have just been hallucinating that way and thought everybody felt a really 'big' shame when the fact of the matter is some didn't.

Lo!
Typical you:tape2:
 
Tatizo la watanzania wengi,mnajali sifa zisizo na msingi badala ya kuangalia mambo ya kufanya yatakayoinufaisha jamii na hicho kipaji chako (if u thnk u have).
Hebu wale wote mnaojisifu kwa kusoma shule za vipaji (enzi hizo) mtueleze japo hata kitu kimoja (kwa kila mmoja wenu) ambacho umefanya katika jamii yako na kikaleta maendeleo walau hata wanacommunity wenzako wakasema "IT WAS RIGHT FOR HIM TO BE TAKEN TO A SPECIALS SCHOOL".
FANYENI KAZI ZITAKAZOWAFANYA MUWE LEGENDS NA SIO SIFA ZISIZO NA FAIDA...!!
D**n...
 
badoo tu mnaendelea kuaamini kuwa kuna best school!
Kwa ulimwengu wa sasa kuna best candidates, ure performance will determine the best
ukiwa na akili kama zawachangiaji waliotangulia utashindwa maisha ,then bado wanaoneka mawazo yao ni ya kitoto sana
kama bado mpo shule someni kwa bidii,kama mshamaliza tafuteni hela kwa bidii zote pamoja na amani moyoni
nawasilisha

i loved it
 
Back
Top Bottom