BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Mie naifagi sana Shaaban Robert Secondary School.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna adabu azania inachukua watu wamepata ccd kwenye kombi ulinganishe na mzumbe au tabora boys ambapo pcb>bba,azania
acha utani huwezi fananisha hicho kijishule cha tosamaganga na mzumbe,ilboru,tbrboys,kibaha ,tosamaganga
umenena...Mhh...mbona zipo nyingi tuuu...sema zinamchuano mkubwa sana
Ngoja niongezee hapo
St. mary Goret
Canossa
Mazinde juu(st marys)
st james.......nk you name them uh!!
Mie naifagi sana Shaaban Robert Secondary School.
BelindaJacob....Labda enzi zile za kina mr. Thind ila sasa hakuna cha SRSS au AKMSS....nowadays kwishney....
Nowdays feza anawakimbiza, xul fees tu million 5 per year, shule kama hoteli inavyowaka huko bahari beach,
Sbrss na akmss zilikuwa old days but nowdays watoto wa kijanja wote wanaelekea feza boys while girls wanaelekea marian girls, sbrss inabaki na waliokosa chance hizo shule kubwa miaka ya sasa
Enzi hizo ukifaulu darasa la saba unaonekana kama shujaa fulani kwa jinsi utakavyokuwa unapongezwa na watu.lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.acha utani huwezi fananisha hicho kijishule cha tosamaganga na mzumbe,ilboru,tbrboys,kibaha ,
lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.
Ilikuwa raha kweli kufaulu kwenda Serikalini enzi hizo.Mademu wote mtaani wanakugombea kila mmoja anaona sifa kuwa na wewe.Na kama ni msichana amefaulu wavulana wote wanamwogopa mtaani ambao hawakufaulu.True kabisa, enzi hizo ukiwa unasoma Government basi wewe kipanga kweli kweli...private ilikuwa ni kwa wale ambao hawakufaulu. kiufupi ni kwamba yawezekana hukuwa mjinga, bt akili zako hazikutosha kufaulu ukaenda government.
ila mambo sasa tofauti kweli...ukimpeleka mwanao government unaonekana hauko serious na Elimu.
badoo tu mnaendelea kuaamini kuwa kuna best school!
kwa ulimwengu wa sasa kuna best candidates, ure performance will determine the best
ukiwa na akili kama zawachangiaji waliotangulia utashindwa maisha ,then bado wanaoneka mawazo yao ni ya kitoto sana
kama bado mpo shule someni kwa bidii,kama mshamaliza tafuteni hela kwa bidii zote pamoja na amani moyoni
nawasilisha
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.