ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #181
Ndio ujue Afrika ni tajiri Kila sehemu zaidi ya hicho Cha Zambia..Yaani Zambia na utajiri woote wa copper haipo kenye list?ππππ haya matangopori
Huna mtaji,huna Teknolojia Wala huna soko what do you expect? Mbaya zaidi waliofanya utafiti na kugundua ni hao hao wazungu ,wewe subiria mrahaba tuu.Unaanzisha migodi kwa ajili ya kulipa kodi serikalini na si kunufaisha jamii inayozunguka hiyo migodi pamoja Wananchi kwa ujumla,je hiyo migodi itakuwa na tija?Nikupe mfano mmoja tu Zambia wanazalisha shaba,ukienda ukanda wa Copper Belt mazingira yake yanakuonyesha kuwa wananchi wa sehemu hiyo wananufaika na hiyo rasilimali inayopatikana huko.Sisi dhahabu inapatikana Nyamongo kwa mfano lakini kama ni mgeni ukisema Tarime kuna dhahabu utakataa maana mazingira yake na hicho kinachosemwa kipo ni tofauti kabisa.
Naona umeivalia njuga hii taaarifa fake kama unalipwaπ‘π‘Ndio ujue Afrika ni tajiri Kila sehemu zaidi ya hicho Cha Zambia..
Kama Zambia ingekuwa tajiri kihivyo ingekuwa na maendelea kuliko Tanzania..
Nchi yenye watu wenye akili hapa Afrika Kusini mwa SADC ni Zimbabwe.
Wewe taarifa yake og Iko wapi?Naona umeivalia njuga hii taaarifa fake kama unalipwaπ‘π‘
Wewe taarifa yake og Iko wapi?
Na ndiyo nchi maskini kuliko nchi zote Kusini mwa SADC.Ndio ujue Afrika ni tajiri Kila sehemu zaidi ya hicho Cha Zambia..
Kama Zambia ingekuwa tajiri kihivyo ingekuwa na maendelea kuliko Tanzania..
Nchi yenye watu wenye akili hapa Afrika Kusini mwa SADC ni Zimbabwe.
Kwani Zambia na DRC wanatuzidi nini?Huna mtaji,huna Teknolojia Wala huna soko what do you expect? Mbaya zaidi waliofanya utafiti na kugundua ni hao hao wazungu ,wewe subiria mrahaba tuu.
ukitaka taarfa njoo hapa ofisini tukupe ukatambe π π πWewe taarifa yake og Iko wapi?
Kwenye hiyo List Yako ondoa kabisa Tanzania ,tunabangaiza hiyo dhahabu na Wala hatuna deposits ya maana..10 Most Mineral-Rich Countries In Africa
When it comes to the stuff bling is made of, Africa is enormously bountiful. Its mineral deposits make it one of the richest natural-resource-laden places on Earth and everyone wants some. The following are the most mineral-rich countries in Africa. Botswanahowafrica.com
Twende kazi
Tuna bandari ya bagamoyo inajengwa na mchina πNdio Zenye Madini hizo nyie wengine ni wababgaizaji..
Pale Zimbabwe Mchina Katia Mgodi wa Til.4 wa Lithium,Tanzania una Mgodi upi wa thamani hiyo Kwa mfano?
Mungekuwa tajiri Kwa Madini kama unavyosema Mngekuwa mnakamatana Kwa tozo?ukitaka taarfa njoo hapa ofisini tukupe ukatambe π π π
Acha ujinga Algeria ni Mafuta tu na sio madini labda ungeita NATURAL RESOURCES, SIO MINERALSKwenye hiyo List Yako ondoa kabisa Tanzania ,tunabangaiza hiyo dhahabu na Wala hatuna deposits ya maana..
Nchi nyingine ulizotaja Zina aina Moja tuu ya Madini kama Zambia na Guinea..
Mwisho list fake kutoka Kwa chanzo fake.
Hizo ni other factors kama ilivyo DRCMungekuwa tajiri Kwa Madini kama unavyosema Mngekuwa mnakamatana Kwa tozo?
Si tungeona migodi mikubwa kama Congo,Zambia nk?
Tanzania ni hamna kitu.
Zambia ilikuwa middle Income Zamani kabla ya Tanzania na share Yao ya Madini kwenye uchumi ni zaidi ya Tanzania inayotegemea Kilimo..Kwani Zambia na DRC wanatuzidi nini?
Acha blaa blaa wewe hakuna Cha other factors hakuna Madini Kuna ubangaizaji wa wachimba na sululu.Hizo ni other factors kama ilivyo DRC
Akili yako imejaa tope na ubishani wa kijinga endelea na Twitter yako π π π πAcha blaa blaa wewe hakuna Cha other factors hakuna Madini Kuna ubangaizaji wa wachimba na sululu.
Twitter au ukweli? π€£π€£π€£π€£Akili yako imejaa tope na ubishani wa kijinga endelea na Twitter yako π π π π