Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Vifaa tunavyo,vingi tu, hii tathimini ina mapungufu, labda tuseme jeshi letu lina usiri mkubwa sana wa nini kinacho miliki
 
Mkuu umeongea point kubwa mno mtu anayecheza na jeshi la Tanzania akawaulize Comorro na m23
 

kwenye maelezo yng hapo umeona neno Tanzania au kutaja jeshi la Tz?acha bangi kabla ya ku quote soma kwanza uelewe ujue una quote nini pummbavuu
 
Tatizo sasa hivi JWTZ wanatumika kisiasa, tofauti na enzi za Nyerere ambapo JWTZ lilikuwa jeshi strong barani Africa.

una uhakika na unachokiongea?
Hebu tuambie jwtz kipndi cha nyerere lilishika namba ngapi kwa ubora africa? Hebu lete data hapa na sio hearsay.

Hakuna hata sku moja jwtz liliweka mambo hadharan
 
Fanyeni yote lakini msiwadissi jwtz mtahenda ngome
 
Hahahaaaaaaaa,tuko vizuriiiiiii,Tuna meli ya kivita(manowari) Msoga na Butiama kulinda pwani na utajiri wetu mkubwa wa gesi,jeshi la nchi kavu imara zaidi Afrika,MUNGU atupe nini? wana wa nchi tulale tu usingizi kwani tuko salama,Hongera Jeshi la wananchi,JWTZ
 
Takwimu hizi zinazoibeza Tanzania mimi naziita "TRASH" ni za kupuuza tu.
 
Mkuu tuwekee chanzo cha habari yako
vinginevyo ufute huu uzi wako.
 
Drc na uganda teh teh huu utoto sasa

Hawa jamaa wametudharau sana watanzania mara mia wangetuweka hata no mbili jeshi letu ngangari bwana mbona huwa wanakuja kuchukua maujuzi kwetu.?
 
Uhalali wa kusema jambo unaendana na ukweli wa takwimu sahihi.Usikae kusifia kitu kwa hisia tu.Tafuta ukweli.Unataka uwe juu wakati uhalisia siyo kweli?
 
una uhakika na unachokiongea?
Hebu tuambie jwtz kipndi cha nyerere lilishika namba ngapi kwa ubora africa? Hebu lete data hapa na sio hearsay.

Hakuna hata sku moja jwtz liliweka mambo hadharan
Jwtz hawana cha kuweka hadharani. Jeshi ambalo halina hata ndege moja ya mashambulizi "Attack fighter" unataka liwe juu kwa vigezo gani?
 
Jwtz hawana cha kuweka hadharani. Jeshi ambalo halina hata ndege moja ya mashambulizi "Attack fighter" unataka liwe juu kwa vigezo gani?

Mkuu with due respect
Mbona kwenye post yako #71 uliweka link ya Tanzania Military Strength ukifungua hiyo link kwenye kichwa cha maelezo Attack Power maelezo ya tatu yanasomeka “Fixed-Wing Attack Aircrafts-15"
Kunatofauti gani kati ya attack fighter na attack aircraft?
 
Mipaka ya tz iko wazi,rasilimali zinahamishwa so jwtz watakua no 49
 
Attack aircrafts ni helicopter za kawaida za kijeshi ambazo hutumika kusafirisha wanajeshi vyakula, silaha, Madawa n.k wakati wa vita. Nyingine zinaweza ia kurusha mabomu zikiwa angani lakini si kwa kiwango kikubwa. Lakini "Attack Fighter" ni zile ndege za maangamizi, ambazo hutumika kwa kurusha makombora ya maangamizi kwa kiwango cha hali ya juu.
 

Mkuu rejea kwenye link yako post #71.
Inaeleza hivi:-
*Total Aircrafts-34
*Fighter/Interceptors-15
*Fixed-wing Attack
Aircrafts-15
*Transport Aircrafts-10
*Trainer Aircrafts-09
*Helicopter-01
*Attack Helicopters-00

Sasa mkuu Fighter Aircraft ni kitu tofauti na Helicopter kwenye mambo ya Anga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…