Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Jwtz hawana cha kuweka hadharani. Jeshi ambalo halina hata ndege moja ya mashambulizi "Attack fighter" unataka liwe juu kwa vigezo gani?

ona ulivyo hamnazo. Kwenye post yako ya mwanzo umeandikaje? Na hii ulioniquote umeandikaje?

Tatzo mnashabikia vitu pasipo kujua. Rudi darasan kasome kwanza ndio uje kubishana hapa
 
Hakuna lolote hapo Burundi au Rwanda peke yake inauwezo wa kuipiga DRC leo hii hata Tanzania haipo huo utafiti ni wako binafsi
 
Kuna uzi humu ndani nimeona eti “Somalia is safe country then Tanzania " this is a bad JOKE!!!
 

Attachments

  • 1444562856256.jpg
    57.6 KB · Views: 323
Story yako ni ulongo mtupu!
Kwa mfano; Uganda inazalisha Mafuta lakini katika orodha yako inaonyesha hakuna uzalishaji wa mafuta.
Isitosha population ya kenya si 45 milioni.
 
Generali Mayunga aliwahi kuwaita raia wakakamavu alipoona mpaka makoplo na masajenti wana vitambi!
 
Story yako ni ulongo mtupu!
Kwa mfano; Uganda inazalisha Mafuta lakini katika orodha yako inaonyesha hakuna uzalishaji wa mafuta.
Isitosha population ya kenya si 45 milioni.
Povu la nini? Tuwekee basi hapa hizo takwimu zako tuzione!
 
Hakuna lolote hapo Burundi au Rwanda peke yake inauwezo wa kuipiga DRC leo hii hata Tanzania haipo huo utafiti ni wako binafsi
Hata Tanzania inaweza kupigwa na Rwanda pia!
 
Ninyi leteni dharau tu lakini ipo siku mtalikumbuka hata hilo mnalolibeza. Kikubwa ni kuangalia hata kama ni la mwisho je kumewahi kutokea nchi nyingine ikatuvamia kirahisi? Je kuna vitu jeshi letu limepigana likashindwa? Mnakazi ya kujidharau wenyewe
 
Akili za bangi na kinyesi kikavu kulidharau jeshi letu yaani kila kitu ni upinzani tu hata kwa JWTZ hivi mnalijua vizuri jeshi hili? Mnalijua linavyoheshimika barani Afrika? Vitu vingine ni us..n.g kuvipost humu
 

Siri gani wakati tuliambiwa kuna Luteni Kanali Mnyarwanda aliyekuwa kwenye kitengo muhimu cha IT alitoroka na mafaili yote?
 
Sidhani kama baadhi ya wachangiaji wanaonyesha dharau kwa Jewi ni sahihi,hata mimi bado nina mashaka ya hizi takwimu najaribu kuchimba zaidi nione kama nitapata taarifa tafauti na hizi. Kuliponda/kulidharau Jeshi letu kwa takwimu hizi si sawa.
 
Akili za bangi na kinyesi kikavu kulidharau jeshi letu yaani kila kitu ni upinzani tu hata kwa JWTZ hivi mnalijua vizuri jeshi hili? Mnalijua linavyoheshimika barani Afrika? Vitu vingine ni us..n.g kuvipost humu
Sasa hadi Mkuu wa majeshi anafichwa haonekani, hilo ni jeshi la kusifiwa kweli?
 
Naliamini sana Jeshi letu hapo ccm ndio sehemu ambayo hawajaharibu sana.jeshi letu lipo kamili though hawana vifaa vya kisasa.Maana kununua izo ndege za kivita au makombora ni ghali sana na kuyatunza pia..
 
Sasa hadi Mkuu wa majeshi anafichwa haonekani, hilo ni jeshi la kusifiwa kweli?
YAANI WEWE NI PUMBAVU KABISA MKUU WA MAJESHI UNATAKA AANIKWE JUANI AU ALETWE KWA BABA YAKO NDIYO UJUE YUPO UMEENDA OFISINI KWAKE UMEMKOSA MJINGA WEWE? AU UNAFIKIRI HUYO NI LOWASA WA KUJIANIKA KILA SIKU KWENYE VYOMBO VYA HABARI?
 
k
kwa kutajwa rdc na kuachwa tanzania ujue ripoti hiyo ni propaganda ya watu fulani dhidi ya nchi fulani.
 
Ni heri kuonekana hauna kitu wakati una kitu..kuliko kuonekana unakitu wakati hauna kitu..I believe we have a tough army force....ni vyema ukamjua adui yako kwa undani kuliko akujuavyo yeye..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…