Watu wanaichukulia historia ya vita vya uganda kama ndio kigezo cha ubora wa jeshi letu kwa sasa. Wanasahau wenzetu hutumia teknolojia zaidi ya manguvu kwenye majeshi yao...Magufuli akiendelea na kujifanya
hasafiri walla hashiriki mambo ya kimataifa
hata kulinda amani nayo tutakosa
tutabaki jeshi la kupiga raia wakipita njia zao tu baasi
Jeshi letu liko ngangari kupasua vitofali kwa ngumi kwenye sherehe za kitaifa.
cc Komredi Nyani Ngabu, The Boss
Sina uhakika na utumikaji wa jwtz kisiasa lakini kuonekana kwao mitaani mtwara na zanzibar na uwepo wa vituo vya kupigia kura makambini vinavyo simamiwa na wao kunahitaji akili ya ziada kulikubali hiliKulijua jeshi la Tanzania ni vigumu sana kwa sababu si jeshi ambalo linapenda kuweka mambo yake hadharani. Na hii ndio inayochangia kwa kiasi kikubwa nchi yetu kuwa salama. Kwenye hilo suala la kutumika kisiasa nadhani haupo sahihi hata kidogo, jeshi letu lina nidhamu sana na wala halifungamani na upande wowote kisiasa.
Ahahahahaaaaaaa wamewezeshwa wamewezakwa mujibu wa TWAWEZA
Ni mwanzoni mwa mwaka Jana Tu, maafisa wapya wa DRC walimaliza mafunzo yao Na kutunukiwa kamisheni hapa hapa Tanzania, wakazi wa Arusha wanalijua hili.Nchi zilizo juu nyingi zina mafuta wao wakiuza mafuta ni kununua siraha huku raia wao wakifa baharini wakiitafuta ulaya.vita ni Mbinu pamoja na siraha bora na uvumilivu na nidham ya jeshi.wauza siraha wanachokifanya ni kutoa siri kwamba south ana siraha kadhaa ili anaeona anazo chache anunue kama south.mbona hii report inabase sana Afrika na mara kwa mara.mimi naliamini jeshi la Tanzania na ikiwa baadhi ya viongozi wa jeshi wa nchi kama zimbabwe,botswana,namibia na south Africa wamepata mafunzo hapa na wanaeshimiwa kwa kuwa viongozi makini kabisa katika nchi zao..mwaka juzi tuliwapa mafunzo askari wachache kutoka south wanajiita balet ukienda jozi wengi wanaongea kiswahili na ndio police waliojitahidi kupunguza crime johannesburg.wana mbinu zoote za FFU. Wao wanasema haya mafunzo ya police tuu ni kama kwao jeshi ssa jeshi ndio ipoje huko..
Jeshi letu kiboko kwa kupasua matofali ya kuchoma na kupiga ngumiJeshi morali bana,,,,,,raia acheni kuongelea jeshi wakati hata mgambo hamjaenda,,,,,nyie bakini huko mtaani na stori zenu za vijiweni na nyimbo za kina alikiba,diamond n.k,,sekta za ulinzi waachieni wenyewe ooovaaaa!
kama wewe strong chokoza japo al shabaab.teh teh tz vipi tena nchi yangu mbona kila kitu ni zero dah inauma sana, si juzi juzi tu hapa tuliambiwa East Africa Tanzania ndio ina strong army? YOTE YATAPITA
VIVA UKAWA!!
Tatizo sasa hivi JWTZ wanatumika kisiasa, tofauti na enzi za Nyerere ambapo JWTZ lilikuwa jeshi strong barani Africa.
Nchi zilizo juu nyingi zina mafuta wao wakiuza mafuta ni kununua siraha huku raia wao wakifa baharini wakiitafuta ulaya.vita ni Mbinu pamoja na siraha bora na uvumilivu na nidham ya jeshi.wauza siraha wanachokifanya ni kutoa siri kwamba south ana siraha kadhaa ili anaeona anazo chache anunue kama south.mbona hii report inabase sana Afrika na mara kwa mara.mimi naliamini jeshi la Tanzania na ikiwa baadhi ya viongozi wa jeshi wa nchi kama zimbabwe,botswana,namibia na south Africa wamepata mafunzo hapa na wanaeshimiwa kwa kuwa viongozi makini kabisa katika nchi zao..mwaka juzi tuliwapa mafunzo askari wachache kutoka south wanajiita balet ukienda jozi wengi wanaongea kiswahili na ndio police waliojitahidi kupunguza crime johannesburg.wana mbinu zoote za FFU. Wao wanasema haya mafunzo ya police tuu ni kama kwao jeshi ssa jeshi ndio ipoje huko..[/QUOTE
Safi isanga
Kuzima vurugu ndani ya nchi sio hoja ya jeshi imara.Hii orodha kwa mujibu wa nani na ubora wa jeshi umepimwaje? Maana nchi nyingine hapo jeshi lake limeshindwa kuzima vurugu ndani ya nchi yao, muziki wa jeshi la nchi nyingine wataweza?