Top 5 Underrated Football Players Of All Time


Kwa JJ nikweli kasahaulika

..

Reberry pia na yy kasahaulika

Huyo raheem yeye ni nani mpaka awe bora wakati aguero ndiye anaesumbua uingereza

Gaucho si size ya pele, ungesema zidane zaidi ya pele tungekuelewa.. Gaucho hajafikia ht uwezo wa okocha then vipi awe zaidi tena ya pele?

All players = KING MARADONA & KING MESSI

Hawa ndio fifa inawatambua haswaaaa,, na mafans ulimwenguni kotee...

Japo sio wa RANGI yangu lakini acha niwape haki yao bila kujali rangi ama utaifa wao..wanastahiki mno.. Big up sana Wafalme wa soka mmetupa raha kwelikweli mashabiki wa soka ulimwenguni na wachache wasiokuwa mashabiki wenu
 

Juan Roman Riquelme-Argentina,Barcelona,Villareal, nk
 
Mario Jardel,hufu mshambuliaji hatari kutoka Brazil ambaye hata timu ya Taifa ya Brazil sidhani Kama alichezea,Club alichezea Bayern,Galatasary.
 
Mario Jardel,hufu mshambuliaji hatari kutoka Brazil ambaye hata timu ya Taifa ya Brazil sidhani Kama alichezea,Club alichezea Bayern,Galatasary.
Hata Zico haimbwi sana pale Brazil, japo alikuwa ni hatari wakati wake, akiwemo akina Falcao, Socrates na Eder wote hao ni Brazil ya world cup ya 1982.
 
Hapo kwa Milito uko sahihi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…