Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza

Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga


Tanzania kuna wana Hip Hop au waigizaji tu?
 
Yes
Hata mabadiliko yako nayakubali
Ujue ilitakiwa at lrast tupewe top 8 hahahaha!
Sawa-sawa,
Hip hop chakula cha ubongo,inakufikirisha inakuburidisha na Maarifa pia.
Kubwa zaiidi au utamu wa Hip hop pale unapolifumbua au kuling'amua neno lililofichwa.

Pamoja Mkuu!
 
1 one incredible(tamaduni
2 Nikki mbishi(tamaduni
3 sterio(chunda badi singasinga tamaduni
4 songa (tamaduni
5 fidq
 
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza

Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga
Kama ni kwa mtazamo wako Mkuu
Hatukupingi unauhuru wa kuchagua chochote hata kama kipo hovyo,
Labda tu tutakachofanya ni kukurekebisha na kukuweka sawa.

Yangu hiyo;
1.Fid q
2.Nikki Mbishi.
3.Nash mc
4.one incredible .
5.Songa
 
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza

Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga
Umebugi men
 
Nani shabik wa joh afu ana hela gan huyo chali yangu naona kama ume fula kwa hasiara arifu aisee

Yaani umekuja pazuri sana

mkuu...neno kubebwa, halina mantiki hapo, kubali tu

nani anawabeba, mbebaji lengo lake ni nini? halafu mbebaji akiwabeba anapata raha gani? au mbebaji anapata faida gani??
 
Back
Top Bottom