Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Hawa ndio wasanii WA Hip hop hapa bongo angalau walijaribu kuzungumza vitu kadhaa vyakuikosoa serikali na kuwaamsha raia na mienendo Yao! !

1=Mr 2 (Sugu)
2=Kala Pina
3=Afande sele
4=Solo Thang
5=Father nelly/Roma mkatoliki

6= Prof jay
7= Chindo Man/JCB
8= Jay moe
9= Joe makini
10=Chid benz

Kuna huyu mwamba anaeitwa Hashim Dogo huyu ndie alitarajiwa kua msanii bora WA hip hop hapa Bongo kama angeamua kujikita kwenye Mziki.
 
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza

Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga
Young killer anamzidi joh ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa ndio wasanii WA Hip hop hapa bongo angalau walijaribu kuzungumza vitu kadhaa vyakuikosoa serikali na kuwaamsha raia na mienendo Yao! !

1=Mr 2 (Sugu)
2=Kala Pina
3=Afande sele
4=Solo Thang
5=Father nelly/Roma mkatoliki

6= Prof jay
7= Chindo Man/JCB
8= Jay moe
9= Joe makini
10=Chid benz

Kuna huyu mwamba anaeitwa Hashim Dogo huyu ndie alitarajiwa kua msanii bora WA hip hop hapa Bongo kama angeamua kujikita kwenye Mziki.
Sugu ni mwizi wa nyimbo za wasanii alafu ana den bank la hotel yake amekaribia kufilisiwa
 
"Anayefanya hajui chochote, anayejua hawezi fanya.,Ambaye amechoka kufikiria huamini anajua sana"

..Ukweli siku zote unapigwa pingu,uongo uzidi enea..
 
Zali la mentali,Ndio Mzee,Jina Langu,Bongo Dar es salaam,Chemsha Bongo,Niamini,Nang'atuka,Nikusaidieje,Promota anabeep zote zilikuwa Hip Hop Singeli?!

Au wakati ule ulikuwa bado ujafika mjini?!

Kwa kukusaidia hakuna msanii wa Hip hop mwenye hit songs(nyimbo za taifa) nyingi bongo kama Profesa Jay au unaowakubali wewe wote waliamua ku-rap kisa Profesa Jay ni Role Model wao.
Achana na vitoto vya juzi vipaka poda hivyo...Yaan vinaongea ili tuu vitoe harufu mdomoni.
 
hiyo list yako kwa upande mmoja au mwingine haipo sawa.
ukisema waimba hip hop hiwezi muacha.

Niki mbish
Songa
na ONE incredible

Darasa na young killer wanaimba Hip hop lain sio ngumu kama wanazo imba wakuna Fid Q
 
Back
Top Bottom