Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo. Kayumba kwenye msimamo. Unajua nini? Kwa sasa baadhi ya wasanii imebidi waige aina flani za mziki ambazo zinashika soko kwa sasa. Muziki kama wa msaga sumu na singeli ndio miziki inayobamba vijana kwa sasa.Roma gan yule yule aliyeimba k yaan mpaka pale kati ni k au mwingine mbona sijakuelewa
.....weka vigezo,chocolate!We nawe acha wivu wa kike
HahahaUmenena kiongoz wangu chukua tano yako tukutane pale kona bar nikupe japo balimi mbili
Make It Rain ya Fat Joe, Byser alipata ruhusa kwa Fat Joe?Sugu ni mwiz wa kaz za wasanii aliiba ngoma ya mr blue inaitwa freedom huyo anazingua mtoe
Hip Hop ni nini?Kwanza nataka mjue kuwa kuna tofauti kubwa kati ya hiphop na rap. Ukiwasikiliza hawa wasanii unaweza kudhani wanafanya mziki wa aina moja.
Wanaofanya real hiphop ni Roma Mkatoliki na Stamina. Hao kina fid Q na Jay wao wanafanya Rap. Unajua mara nyingi hip hop inagusa maisha halisi ya mtu. Mara nyingi huwezi kukuta hiphop ipo kwenye mashwala ya mapenzi.
Kwa bongo hiphop ipo Arusha na morogoro. Ingawa kwa dsm wapo wachache wanaojaribu kufanya hiphop ingawa wakati mwingine wanatoka kwenye mstari.
Kwangu wanaofanya hiphop ni
1. Stamina
2. Roma Mkatoliki
3. Afande Sele
4. Ney wa Mitgo ingawa huyu anatoka nje ya mstari.
5. Kala jere100.
6. Madee
Wanaofanya rap wapo kibao.
1. Jay
2. Fid Q
3. Nikki Mbishi
4. Jay moo
Na wengine wa aina hiyo.
Zali la mentali,Ndio Mzee,Jina Langu,Bongo Dar es salaam,Chemsha Bongo,Niamini,Nang'atuka,Nikusaidieje,Promota anabeep zote zilikuwa Hip Hop Singeli?!Afu nilikua nimesahau pro jay anaimba hip hop singeli siyo hip hop yenyewe
We nimetoa list ya wana hip hop sio ya wasanini wanao tamba au wasanii wa singeli wasanii wanaotamba wapo weng lakin sio wa hip hop hapa tuna jadili wana hip hop sio wanaotamba nazan had kufikia hapo utakua umenielewaHuyo huyo. Kayumba kwenye msimamo. Unajua nini? Kwa sasa baadhi ya wasanii imebidi waige aina flani za mziki ambazo zinashika soko kwa sasa. Muziki kama wa msaga sumu na singeli ndio miziki inayobamba vijana kwa sasa.
Anafukuzia soko mkuu.
Punguza mahaba kwa profesa we mzalamo kuna watu wameanza hip hop kitambo kabula hata ya huyo profesa wakoZali la mentali,Ndio Mzee,Jina Langu,Bongo Dar es salaam,Chemsha Bongo,Niamini,Nang'atuka,Nikusaidieje,Promota anabeep zote zilikuwa Hip Hop Singeli?!
Au wakati ule ulikuwa bado ujafika mjini?!
Kwa kukusaidia hakuna msanii wa Hip hop mwenye hit songs(nyimbo za taifa) nyingi bongo kama Profesa Jay au unaowakubali wewe wote waliamua ku-rap kisa Profesa Jay ni Role Model wao.
So ikishakuwa hiyo unayoiita "Simplified Hip Hop" inakuwa sio Hip hop tena?!Unaweza kuita "simplified hiphop"
Sasa hapa mimi namzungumzia Profesa Jay wewe wazungumzie hao watu wengine walioanza kabla ya Profesa Jay.Punguza mahaba kwa profesa we mzalamo kuna watu wameanza hip hop kitambo kabula hata ya huyo profesa wako
Arusha kuna wavuta bange tu wanaojificha nyuma ya kivuli cha Hip Hop.Acha zako arusha hakuna wasanii wa hip hop
Arusha kuna wavuta bange tu wanaojificha nyuma ya kivuli cha Hip Hop.
Mtu anakwambia Jcb Mara Chindo Man watu ambao hawana Hit Song hata moja ya kueleweka.
Kwa hiyo unataka kusema Kwenye hip hop hakuna mapenzi?!Kwanza nataka mjue kuwa kuna tofauti kubwa kati ya hiphop na rap. Ukiwasikiliza hawa wasanii unaweza kudhani wanafanya mziki wa aina moja.
Wanaofanya real hiphop ni Roma Mkatoliki na Stamina. Hao kina fid Q na Jay wao wanafanya Rap. Unajua mara nyingi hip hop inagusa maisha halisi ya mtu. Mara nyingi huwezi kukuta hiphop ipo kwenye mashwala ya mapenzi.
Kwa bongo hiphop ipo Arusha na morogoro. Ingawa kwa dsm wapo wachache wanaojaribu kufanya hiphop ingawa wakati mwingine wanatoka kwenye mstari.
Kwangu wanaofanya hiphop ni
1. Stamina
2. Roma Mkatoliki
3. Afande Sele
4. Ney wa Mitgo ingawa huyu anatoka nje ya mstari.
5. Kala jere100.
6. Madee
Wanaofanya rap wapo kibao.
1. Jay
2. Fid Q
3. Nikki Mbishi
4. Jay moo
Na wengine wa aina hiyo.