Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kuna siku nilikaa najiuliza kama Taifa Marekani kupiga vita ukoloni na kuunga mkono juhudi za Waafrika kujikomboa kutoka kwa Wakoloni kwenye ile miaka ya sitini.Kumbe walikuwa wametuandalia ukoloni mwingine ambao ni mbaya sana.Mkuu umeongea point za msingi sana..
Ila hiyo Picha uliyoambatanisha mwishoni imenivunja mbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
"Shah"
Hakika [emoji120]#Safari_Moja_Uanzisha_Nyingine
Na mimi uwe unanitag mkuu. Threads kama hizi ndizo zilinifanya niwe member wa kudumu JF sepecially jukwaa hili.Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu
Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..
Tuzingatie hilo tafadhali..
Mi nadhani wanaweka wazi siri kwaajili ya mission fulani, sio burebure tu,Wakuu, marekani ina sheria ihusuyo Uhuru wa Wananchi kupata taarifa kuhusu masuala ya serikali yao (Freedom of Information Act).
Sheria hii inaamuru "Excutive Branch" ya Marekani "kushare" na wananchi yake masuala ya siri yanayofanywa na idara za "executive branch" (serikali na rais)
Hapa tunaongelea Idara kama CIA, FBI, DOD, the Army, etc.
Lakini pia sheria hii inatoa ruhusa kwa masuala yanayoweza 'kucompromise' Usalama wa Taifa au trade secrets au foreign policy yaendelee kubaki kuwa siri. Lakini kwa masuala ambayo haya compromise vitu hivi vitatu inaamuliwa na sheria kuwa lazima serikali waweke wazi kwa wananchi.
Mkuu ni SAG walienda Iran wakachagua baadhi ya vijana wa Kiiran na kuwatrain..The bold nimeona ktk mada yako kua vijana waliochaguliwa ktk hiyo oparesheni walikua 100 hivi wakawa chini ya SAG sasa wazungu Na waarabu hawafanani..... Je ilibidi wachaguliwe askari wenye nasaba za kiarabu ili kujiunga Na SAG then ndio wakaingia Iran kufanya hizo harakati Kwa ajili ya kuhamasisha RAIA Wa kiiran? Au hao SAG wazungu walienda Iran wakachagua wairan Na kuwatrain?
Kabisa Mkuu! Kwa namna fulani pia ni sehemu ya propaganda kuonyesha ulimwengu juu ya "supremacy" ya taifa la Marekani.Mi nadhani wanaweka wazi siri kwaajili ya mission fulani, sio burebure tu,
kwani wakiamua kukaa kimya kitatokea nini?? Nani atakayejua?
Kwahiyo hapo nahisi suala ni moja tu wapo katika mission au target fulani.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Naona hapa kwetu Chadema ndio wanatumika na siku wakiingia madarakani watafanya ya vibaraka wakienda tofauti watatolewa tu.Wito wangu kwa CCM kutoiachia nchi kwa upinzani.[emoji4] [emoji4]
Usijali mama, I will look into that..Eeeeeh bwana eeeh?Sasa kama mission zenyewe zilikuwa hivi si hatari tupu?
Sipatii picha The bold wangu akizielezea in deep
Uwiiiiiiii hiyo siku nahisi sitokula chakula kwa furaha nitakayoipata.
Napenda sana makala za aina hii,sana.
Na tusubiri mkuu...
Naamini atalifanyia kazi ombi la bae.
Wakati mwingine ukimya ni jibu zuri sn kwa yule ajionae mwelevu Na kuongea hovyo tu.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu naona unataka kuwachokoza watu..
Sio kwamba CCM ndio imewekwa mfukoni?? Maana mikataba ya madini na gesi inatia mashaka aisee [emoji4] [emoji4]