Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Bila shaka...
Anza na alama na herufi hii kabla ya neno unalotaka kubold [ b ] kisha malizia hivi [ /b ]
Mfano
Kama wewe ulivyouliza "Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?"
Ukitaka kubold hiyo sentensi anza na [ b ] mwanzo kabisa mwa maneno unayotaka kuyabold...kisha malizia na. [ /b ] mwishoni mwa sentensi.
Kumbuka usiache nafasi kabla na baada ya hizo alama.
Namaanisha hizo herufi ndani ya mabano usiache nafasi baina ya mabano na herufi/alama.

Here we go...bold maneno sasa katika maelezo yangu haya.
Karibu.
Nimekupenda
 
Amerika ama vitengo vingi sana vya ujasus,leo nimejua kuna SAD,lakini najiuliza je hao marekan nini kimewapata washindwe kuzuia kudukuliwa kwa matokeo ya uchaguz juzi had CIA wanapambana na kushutumu kuwa URUS inahusika?
 
"Deception is a state of mind and mind of the State."
- James Angleton
Tafadhali, hairuhusiwi kutumia makala hii mahali popote pasipo ruhusa ya mwandishi H.B.A alias The Bold.


Ume claim hati miliki.

Sijui kama unaweza kubeba simulizi la mtu mwingine, James Angleton, la matukio ya zaidi ya miaka 40 iliyopita, yaliyowekwa kwenye public records za national archives na kudai ni ya kwako.

Kwa nini, kwa sababu, awali ya yote, ndani ya simulizi hukuonyesha hukutofautisha kwa citation kipi umebeba cha mwenzio na kipi cha kwako, kama kipo.

Swali: Nini hapo umekibuni wewe, umeongeza ya kwako ya kichwani, kiasi cha kukupa hati miliki ya ubunifu juu ya simulizi hili?
 
Bila shaka...
Anza na alama na herufi hii kabla ya neno unalotaka kubold [ b ] kisha malizia hivi [ /b ]
Mfano
Kama wewe ulivyouliza "Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?"
Ukitaka kubold hiyo sentensi anza na [ b ] mwanzo kabisa mwa maneno unayotaka kuyabold...kisha malizia na. [ /b ] mwishoni mwa sentensi.
Kumbuka usiache nafasi kabla na baada ya hizo alama.
Namaanisha hizo herufi ndani ya mabano usiache nafasi baina ya mabano na herufi/alama.

Here we go...bold maneno sasa katika maelezo yangu haya.
Karibu.
Aisee
 
Huwa mara nyingi mvivu wa kusoma article ndefu nashangaa hii nimeimudu khaa UK noma mwenye mafuta anakula 16% ama kweli ukoloni hautakaa uishe.
Ila hao SAD nao moto wa kuotea mbali maana mpaka ugundue wako na jambo inchini kwako tayari sumu inakuwa ishaenea.
 
Ume claim hati miliki.

Sijui kama unaweza kubeba simulizi la mtu mwingine, James Angleton, la matukio ya zaidi ya miaka 40 iliyopita, yaliyowekwa kwenye public records za national archives na kudai ni ya kwako.

Kwa nini, kwa sababu, awali ya yote, ndani ya simulizi hukuonyesha hukutofautisha kwa citation kipi umebeba cha mwenzio na kipi cha kwako, kama kipo.

Swali: Nini hapo umekibuni wewe, umeongeza ya kwako ya kichwani, kiasi cha kukupa hati miliki ya ubunifu juu ya simulizi hili?
Sasa akibuni kitu hiyo itakuwa ni simulizi au fix?

Naona una ugonjwa wa wivu, ugonjwa huu kiasili wanaugua jinsia ya kike hebu jihakiki jinsia yako kwanza wewe ni Semenya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom