Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kwa uzi wako The bold umenikuna. Na nimeelewa sorce ya chuki zisizokwisha kati ya USA na Iran. Wengine tulidhani ni U-magharibi na uislam, kumbe ni kwa ajili ya maslahi ya matumbo ya wakubwa!Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu
Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..
Tuzingatie hilo tafadhali..
Kwa uzi wako The bold umenikuna. Na nimeelewa sorce ya chuki zisizokwisha kati ya USA na Iran. Wengine tulidhani ni U-magharibi na uislam, kumbe ni kwa ajili ya maslahi ya matumbo ya wakubwa!
Nimecheka sana leo, kwakweli you made my christmass, sijaingia JF muda mrefu kwa kutumia Pc sasa leo ndio nimeiona signature yako imeboreshwa kwakeli nimecheka sana.Naam, wewe hata siku moja sijawahi kukuona ukiwa positive.
Karibu mabandiko yako yote humu huwa ni ya kukosoa. Na hata kukosoa kwa kujenga hujui.
Mara zote huwa uko hasi tu. Ni kama vile huwa unatafuta dosari tu kwa wenzako as if wewe huna dosari zozote zile.
Nadhani huwa unaona hata reactions za watu dhidi yako zikoje mara zote uwatoapo dosari zao. Tabia yako ni mbaya. Mbovu kabisa yaani.
Critic gani wewe huna hata lugha ya kiungwana? Huna kauli nzuri. Lakini mwenyewe hapo ulipo si ajabu huoni hata tatizo lako liko wapi maskini ya mungu. Unajiona uko sawa tu, uko sahihi mara zote.
Sasa kwa taarifa yako, wakati mwingine si kile ukisemacho ndicho cha muhimu sana bali ni namna kile ukisemacho unavyokisema ndo cha muhimu zaidi.
Jiangalie sana, tena jiangalie kwa kina. Kama unajiona wewe ni critic basi jirekebishe. Jifunze namna ya kufikisha ujumbe wako bila kukwaruza hisia za watu.
Natumai ujumbe wa wadau walio wengi humu umeupata!
Shukrani..Thank you for sharing mkuu
Mkuu nakusalimia siku nyingi sana.Nimecheka sana leo, kwakweli you made my christmass, sijaingia JF muda mrefu kwa kutumia Pc sasa leo ndio nimeiona signature yako imeboreshwa kwakeli nimecheka sana.
kuhusu huyo tutusa ni wa kumpotezea tu, mtu asiyethamini vipaji vya wengine hana tofauti na mchawi.
The Bold namuona dada yangu Niffah akiogelea kwenye profile photo, nimefurahi sana.Shukrani..
Hahahahahaha.!! Inshallah Mkuu dangadunguriThe Bold namuona dada yangu Niffah akiogelea kwenye profile photo, nimefurahi sana.
Tutamualika kiongozi mkubwa serikalini ambaye ni member mzuri ili kuja kumthibitishia kuwa jf is more than critical forum.
TISS wanacho, polisi wanacho. Hawa hasa vitengo vyao wanachunguza hasa watu wanaopinga chama tawala ccm, wanaleta migomo vyuoni na kwenye vyama vya wafanyakazi, kuwashughulikia mashekhe wa uamsho, kuuwa kila anayedhaniwa ni muislamu mwenye msimami mkali, mwanasiasa mwenye msimamo mkali.Mkuu nimekuwa nikiangalia series inaitwa Homeland, na baada ya kusoma hili bandiko lako hapa napata Picha kuwa hawa jamaa wa CIA sio wa kuwachezea hata kidogo.......natamani kujua kama na sisi tuna vitengo vya siri ndani ya TISS au hata jeshini?
TISS wanacho, polisi wanacho. Hawa hasa vitengo vyao wanachunguza hasa watu wanaopinga chama tawala ccm, wanaleta migomo vyuoni na kwenye vyama vya wafanyakazi, kuwashughulikia mashekhe wa uamsho, kuuwa kila anayedhaniwa ni muislamu mwenye msimami mkali, mwanasiasa mwenye msimamo mkali.
Hatuna vitengo vya fitna zakiuchumi kama hawa miamba ya dunia. Vitengo vyakuwalinda viongizi wakienda nyumba ndogo na mahotelini vipo imara sana, sana, wakikushtukia unagonga nyumba ndogo ya mzee, kucha, meno ni halali yao.
Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu
Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..
Tuzingatie hilo tafadhali..
Mashallah.!! Thank you Mkuu..The bold & Nifah
Mashaallah Mashaallah
#BestCouple#
Ha ha ha ha Bila shaka anamaanisha alichoandika......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii ni from experience nini?
Pamoja Mkuu! Shukrani sana..Daaa the bold u have made my year great. Ur are real Greatthinker