Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu

Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..

Tuzingatie hilo tafadhali..
Kwani mods hawajui namna ya kuifanya thread igome kuquote?
Wakorofi wataquote tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilikuwa safarini nikaifuma hii thread ndiyo nashuka na story naimalizia

Barikiwa sana bold
 
Kutokana na haya uliyoyaandika mkuu naweza sema migogoro yote inayoendelea duniani ni mipango mahsusi wala sio ajali, kuanzia mapinduzi, ugaidi, vita vya kidini, vita vya kikabila nk.

Hasa sisi mataifa maskini wala hatuna sovereignty, kuna wenye rimoti wanatuendesha.
Mkuu,

Rejea ambayo sote ni mashuhuda ni mgogoro unaoendelea Syria, Arab Uprising, n.k.

Kaka ...
 
Asnte sana mkuu kwa kutuongezea ufahamu na kuelewa propaganda zinazofanywa na Mataifa makubwa
 
Mkuu leta ingine basi...

Afu naona Tz kama hakuna ajira....

Uchumi umeyumba! No bunge live..! bandari imedorora! Viwanda viko hovyo....

Sielewi elewi mkuu!

Kama naona CIA ,MOSSAD ,M16 na NSA...[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom