Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,204
- 15,207
Mkuu The bold,
Najua unaufahamu utaratibu wetu,uzi nimeubamba mapema japo sijaletewa notification wakati jina nimeliona hapo kwenye tag list.
Shukrani sana na naona mtu ananyukwa KO nyingine ya Nguvu japo majina yao yananipa kisha kuyashika na kutamka.
Salute sana mkuu,baada ya kuusoma nimeelewa kwa sababu gani ulisema ni dude kali. Hakika ni dude makini. Heshima kwako Mkuu wangu.
Najua unaufahamu utaratibu wetu,uzi nimeubamba mapema japo sijaletewa notification wakati jina nimeliona hapo kwenye tag list.
Shukrani sana na naona mtu ananyukwa KO nyingine ya Nguvu japo majina yao yananipa kisha kuyashika na kutamka.
Salute sana mkuu,baada ya kuusoma nimeelewa kwa sababu gani ulisema ni dude kali. Hakika ni dude makini. Heshima kwako Mkuu wangu.