Inconvenient Truths
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 439
- 354
Ina maana Magu hajatembelewa na jamaa wa kitengo cha uchumi? Rejea confessions of an economic hitman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?Aiseee katika matukio yaliyonisisimua ktk hii makala basi ni hili.
Hadi kiu yangu ya kumjua kiundani Castro imezidi maradufu!
Whaaaaat?[emoji87] [emoji87] kumbe Mzee mzima Castro ndiye mhusika?
Eeeh bwana eeeh!
The bold naomba useme chochote kuhusu hili tafadhali.
Bila shaka...Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?
Ahsante kwa uzi mkali wa kufungia mwaka. Be blessed.Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena @Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope JEKI likikima Compact scorpio me mamaafacebook II gambada ynwa
Watu na vipaji vyao kwa hiyo unamuonea donge mwenzio vibaya hivyoI smell something btn Nifah and The bold
Maana si kwa mapenzi haya [emoji23]
Any way back to topic.
Ivii We jamaa @TheBold uneumbwaje!? Maana haya mavitu yapo tu ktk sources mbalimbali ila watu tukisoma kwako ndo tunaelewa kinoma.
Mungu amekujaalia sana kipaji.
Pia niulize, kua haya unayoyaandika unaweza ukasimulia kwa mdomo? Kama ndio itabidi niwe nakutafta hata Weekend unanisimulia stories kama hizi nq maswali nikuulize tani yangu, ntakua hata nakuchangia usumbufu (maana najua siwezi kulipa kipaji chako)
Mkuu shukrani kwa kunitag Uzi huu sasa ndio nausoma mida hii saanane usiku taratiibu.Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu
Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..
Tuzingatie hilo tafadhali..
Usitumie mabano hayo mkuu,tumia haya [ ](b)Nifa(/b) najaribu tu.
najaribuUsitumie mabano hayo mkuu,tumia haya [ ]
Twende kazi
Wooooow [emoji122] [emoji122] [emoji122]najaribu