Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #581
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]Mkuu naamini hamjabadilishana avatar tuu...
Na mengine mmebadilishe pia! Hongereni ! Hahahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]Mkuu naamini hamjabadilishana avatar tuu...
Na mengine mmebadilishe pia! Hongereni ! Hahahaaaa
Nifah akija huku anatanimind ! Hahahaa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
ana fitina kama CIA na SADDuh we jamaa mkali
Una nondo za kufa mtu
Una fitina daraja la kwanza
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahahaha! Nitamtuliza asimaindi sana..Nifah akija huku anatanimind ! Hahahaa!
Mkuu weka basi uzi ya kusindikizia mwaka! Huu hautoshi mkuu
pamoja sana. kama mdau na mpenda simulizi zako kindakindaki, tafadhali jisumbue kidogo zaidi uni-tag ili nisipitwe na bandiko lako hata moja.Pamoja sana kiongozi! Shukrani sana..
Bila shaka Mkuu! Nitafanya hivyo..pamoja sana. kama mdau na mpenda simulizi zako kindakindaki, tafadhali jisumbue kidogo zaidi uni-tag ili nisipitwe na bandiko lako hata moja.
Please...... Naomba uni tagHahahaha! Nitamtuliza asimaindi sana..
Jumamosi Mkuu tukijaliwa naweza nikaweka uzi..
Bila shaka Mkuu! Nitajitahidi sana nikutagPlease...... Naomba uni tag
Kabisa Mkuu! Hakuna "Ufalme" unaodumu milele..haya wanayoyafanya US na CIA/SAD kwa nchi zetu hiz, me nasema shauri yao ipo cku itafika na wao watafanyiwa/watapinduliwa hivo hivo kama wao wanavopindua wengine, yn naamin kuna binadamu hapa dunian wanabuni mbinu za siri ndani ya siri dhid ya US na washirika wake hao UK
sio 600 kamili tu bali ni 638 haya yote yaligonga mwamba kwa field marshal Castro yn kuanzia anaingia madarakani miaka ya 1957 mpaka miaka ya 2009 hv ni marais wangapi walipita pale whitehouse lkn wote hawa walichemka kwa king of the jungle pamoja na kuwa aliishi puani mwao tu yn km 90 tu kutoka US mpaka Muumba wetu ameamua kumchukua mwenyewe tu, daa pumzika kwa amani Castro, na mashaka wale wahuni walio taka kumtikisa mzee wetu baba wa taifa nahisi hapa kama CIA sijui SAD walihusika lkn wakakuta pia huku mwamba wa afrika hautikisiki piaWhaaaaat?[emoji87] [emoji134]
Karuka viunzi zaidi ya 600?Dah hamu ya kujua aliwezaje kusurvive inazidi kuongezeka.
Nafikiri aliyenielezea kuhusu missions za CIA dhidi ya mzee kufeli ni 21 alitumia kigezo cha missions kali kati ya hizo 600 na zaidi.
Sure,itabidi achague japo missions 10 kali (akiweza na zaidi) kinagaubaga ilikuwaje kuwaje.
Dah Mzee alikuwa noma sana.
yn nkiiona hii picha furaha yng yote inaisha naanza kuwazia wajukuu na vitukuu vyangu, yn mpaka mtu unatamani kuacha wosia kuwa makaburi ya akina Shah yafukuliwe na mafuvu yao yatupwe baharin yaliwe na papa, daa inauma sana yn ukiwazia miaka 100 ijayoMkuu umeongea point za msingi sana..
Ila hiyo Picha uliyoambatanisha mwishoni imenivunja mbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
"Shah"
Tag me mkuu! If you don't tag me...then i will be at your door with Panga...!Bila shaka Mkuu! Nitajitahidi sana nikutag
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Tag me mkuu! If you don't tag me...then i will be at your door with Panga...!
[emoji41][emoji41][emoji41]
Bila shaka Mkuu..Me pia usiache kuni tag tafadhali.@the bold
Katika miamba ya Africa katika kugombana na hawa jamaa Baba wataifa hajawahi kuwa mwamba, alipoingia mgogoro na hawa kuhusu WB na IMF na masharti yao kibaooo, mzee alidinda alivyoona amekabwa sana akaachia ngazi kiaina (kung'atuka) akiacha nchi imechoka sana, akiwa amebana wananchi wake ilhali hali zao ni mbaya.sio 600 kamili tu bali ni 638 haya yote yaligonga mwamba kwa field marshal Castro yn kuanzia anaingia madarakani miaka ya 1957 mpaka miaka ya 2009 hv ni marais wangapi walipita pale whitehouse lkn wote hawa walichemka kwa king of the jungle pamoja na kuwa aliishi puani mwao tu yn km 90 tu kutoka US mpaka Muumba wetu ameamua kumchukua mwenyewe tu, daa pumzika kwa amani Castro, na mashaka wale wahuni walio taka kumtikisa mzee wetu baba wa taifa nahisi hapa kama CIA sijui SAD walihusika lkn wakakuta pia huku mwamba wa afrika hautikisiki pia
China, Urusi hizi lazma ziiangushe USA na Wapambe wake.Kabisa Mkuu! Hakuna "Ufalme" unaodumu milele..
Ipo siku watatokea wajanja wenzao na kuwazidi akili..