Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

Omalicha Omalicha
Na viwowo feki unatingisha, unaona sifa tu misifa,
We endelelea kugigida utazilipa,
πŸ˜‚πŸ˜‚
We jifanye boni hapa mzaliwa
Na chako tukikitaka kinaliwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΏ
 
Tuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
Aisee matusi kama ya WCB ukiwa na watu huwezi kusikiliza mambo ya finyia kwa ndani,utaondoka mwenyewe, lakini nyimbo za Kiba fresh sana,hazina matusi na hapitwi na mda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikiba huyu huyu aliyeimba seduce me.. na sijui Upwiru unakaba koo? Mabinti wenye vifundo ndio wananitoa roho?

Then mnasema anaimba kwa maadili?

Kweli Mitanzania minafki sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…