Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
We jifanye boni hapa mzaliwaOmalicha Omalicha
Na viwowo feki unatingisha, unaona sifa tu misifa,
We endelelea kugigida utazilipa,
😂😂
Na chako tukikitaka kinaliwa😂😂😂🏃🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jifanye boni hapa mzaliwaOmalicha Omalicha
Na viwowo feki unatingisha, unaona sifa tu misifa,
We endelelea kugigida utazilipa,
😂😂
Aisee matusi kama ya WCB ukiwa na watu huwezi kusikiliza mambo ya finyia kwa ndani,utaondoka mwenyewe, lakini nyimbo za Kiba fresh sana,hazina matusi na hapitwi na mdaTuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
Afadhali wewe umeniewaAisee matusi kama ya WCB ukiwa na watu huwezi kusikiliza mambo ya finyia kwa ndani,utaondoka mwenyewe, lakini nyimbo za Kiba fresh sana,hazina matusi na hapitwi na mda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mzazi huwezi kusikiliza na mtoto ukifungu tv au redio, WCB wameharibu hiki kizaziAfadhali wewe umeniewa
Punguza chuki haswa kwa mtu asiye kujua , hapo unaishia tu kujiumiza.Kwa heshima yake anatakiwa kuwekwa namba 1 kwa anacho deliver sio huyo muimba matusi.
Chai.Tuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
😂😂😂😂😂😂😂😂Alikiba huyu huyu aliyeimba seduce me.. na sijui Upwiru unakaba koo? Mabinti wenye vifundo ndio wananitoa roho?
Then mnasema anaimba kwa maadili?
Kweli Mitanzania minafki sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwanao anaimba "Natamani kuwa singo ila UPWIRU unakaba koo.. MABINTI wenye vifundo ndio wananitoa"
Then anamalizia..
"Mie mbovu sana wa jambo lile nina ufundi wa kutoshaaa..."
Anaimba hiyo mtt wako utamchekea?
Je ukimkuta anasema "We Zombie..." utamchukia?
Kwaio celebrities (wasanii) ni bongo fleva tu.1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
Ya maziwaChai.
Lavalava kafanya poa sana 2023.sema labda tu humpendi.Mtoe lavalava hapo muweke hata jaymelody
Tajiri na tunakikao vimesumbua sana mtaani labda alitaka amsikie kwenye udaku Ndio ionekane yupo vizuriLavalava kafanya poa sana 2023.sema labda tu humpendi.
Darasa na bilnass wapo wapi fal wewe1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
Humuoni bilnas hapo choko wewe. Na darasa afanye nini hapo.Darasa na bilnass wapo wapi fal wewe