Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Give her moneyStage ya kwanza, hakikisha unamchekesha.
Stage ya pili........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Give her moneyStage ya kwanza, hakikisha unamchekesha.
Stage ya pili........
Lavalava hastahili kuwa hapo1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
Aah mi staki kuongea na wewe huko pmKwani we wasiwasi wako nini Bibie
ulikuwa unamkaza viatu?Hii ngoma juzi wakati namkaza Mke wangu ikaingia kwenye Playlist aisee.. ina vibe
Aah mi staki kuongea na wewe huko pm
Baki na misukosuko yakohumtaki Mr misukosuko
AAh wapi huna ubavu huo.Correctomundo.
Sasa share namba ya M-Pesa
Khanga kiunoniulikuwa unamkaza viatu?
Naunga mkono hojaNaimani Alikiba umemuweka hapo kwa Heshima tu ila sio kwa anacho deliver
Huwez amini, hayo Marasta ya Bob Marley yameukosha mtima wangu.AAh wapi huna ubavu huo.
Sio kwamba huna pesa bali huna ubavu wa kunitumia...bahili
list hii Bila, Darassa ni utumbo tu1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
Unaonekana mpare weweHuwez amini, hayo Marasta ya Bob Marley yameukosha mtima wangu.
Naweza fanya jambo.
Ha haaa ni watani zangu nawajua vizuriUmejuaje
Urewedi
We ni mchaga?Ha haaa ni watani zangu nawajua vizuri
NdioWe ni mchaga?
Hiyo ni kwa 2023 waliotrend. Na nimeongelea kwa wasanii tuKwani celebrities ni wanamuziki tu, mbona hujawaweka hata actors
Kingine unamuwekaje lavalava, mbosso, billnass na whozu juu ya jux kwenye uselebriti
Au unadhani kuwa celebrity ni kutengeneza hit songs tu mkuu, lazma ushawishi uwe nao
Ametrend na tajiri plus tunakikao zimemuweka kwenye charts mbalimbali mwaka huuLavalava hastahili kuwa hapo