Asante kwa kuliona hiliJe Uzi wako unatuelimisha nini? Hata ukiwa na watu wengi kama mchanga wa bahari dunia tunaiendea wenye akili ndio watatawala haijalishi unatoka kabila gani au unapesa kiasi gani akili ndio itatawala pia kiukweli ktk dunia imestaarabika kuongea makabila watu wanakushanga. Kwani unataka kutambika
Najua vizuri hzo Mambo wewe uki read between lines una hidden agenda mbona kipindi Cha nyuma hizi Mambo haziku exist. Hata nyumbu Serengeti na mbuga yoyote ni wengi je Ina add any value?Tofautisha Kabila na Ukabila
Kabila ni identity ya tamaduni,jamii,desturi,lugha ,ngoma n.k
Ukabila maana yake ni ubaguzi wa kikabila,upendeleo wa kazi,chuki na siasa za kabila.
Hii watu wanasema tu, Ila haya mambo ya kujadili makabila hufanya watu kuwa obsessed na makabila na kuyazingatia maishani mwaoSio vibaya kuongea makabila, sio vibaya hata kidogo. Ni African inheritance hatuwezi kuikataa wala kuikimbia, muafrika anajitanabaisha kwa ethnicity yake, hivyo kusema sisi wapogoro na wale waluguru is not an issue coz hata zamani makabila yalikuwa yana tamaduni za kutaniana.
Inategemea mtu anaongelea makabila/ukabila kwa minajili gani. Hatuwezi kuwa westernised kiasi cha kusahau ya kwetu, na makabila ni sehemu ya SISI.
Hiki hapa kiikizu.Waikizu ni tawi la wasukuma? Kivipi?
Kenya wanaukabila, Tanzania haina ukabila na Kenya wamepiga hatua mara mbili kutuzidi inakuingia akilini hii?Ni kosa Hilo Tena kubwa kwa nchi ya makabila 120 hata wahadzabe Wana haki kwa vile wako few basi wasisikilizwe. Ukabila ni mubaya umezifanya Africa zisipige hatua, na mtu anayejisifia ukabila sio matured enough. I honestly sipendi watu wanao praise ukabila, wakujiona Bora loh, wakati dunia ni village nowdays, Chinese wenyewe Ina user wengi wa lugha yet lugha yao sio international language.
Sensa ya mwisho kuuliza kabila la mtu ilikuwa kabla ya 1967.Huu ni utafiti(usiokua rasmi) juu ya uwingi wa wazungumzaji wa makabila yaani wale ambao kiasili ni wenyeji wa kabila husika pamoja na wale ambao wamejifunza makabila husika kutokana na mwingiliano wa shughuli mbalimbali za kimaisha.
1. WASUKUMA
-Idadi yao inakadiriwa kuwa zaidi ya milioni 10. Ni kabila pekee linalopatikana zaidi ya mikoa 6. Wasukuma (ukijumlisha na matawi yake kama Wanyamwezi, Waikizu n.k) wanapatikana mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Simiyu, Tabora na Kigoma pia.
2. WAGOGO
-Wanapatikana kwa wingi mkoani Dodoma. Pia wanapatikana Morogoro/Gairo(huitwa pia Wakaguru). Mkoani Singida wanapatikana wilayani Manyoni (huitwa Wagogo wa Manyoni). Mpakani mwa mikoa ya Dodoma na Iringa pia wanapatikana kwa wingi.
3. WANGONI
Ukijumlisha pamoja na Wandendeule na Wamatengo ambao lughazao huendana sana, basi Wangoni wanafanya kuwa kabila la tatu kwa uwingi Tanzania. Wanapatikana Mkoani Ruvuma.
4. WAMASAI
Hawa wanapatikana Mkoani Arusha pamoja na baadhi ya wilaya za mkoa wa Manyara kama Simanjiro na Kiteto.
5. WARANGI
-Ukiwajumlisha pamoja na matawi yake kama Waburunge na Wanguu hawa nao wanapaswa kuingia kwenye top ten.Wanapatikana kwa wingi wilaya ya Kondoa na Chemba. Pia wanapatikana maeneo ya Mpakani mwa mkoa wa Manyara na Dodoma.
List Itaendelea...
NB: NAJUA UTASHANGAA KUTOYAONA MAKABILA YA WANYAKYUSA, WAHAYA NA WACHAGA HAPO JUU, UKWELI NI KUWA KWA KIPIMO CHA UWINGI WANAPWAYA SANA ILA WAMEFANIKIWA KWENYE UMAARUFU NA ELIMU TU.
Karibuni kwa mjadala
Nahene lolo bhabhaSio vibaya kuongea makabila, sio vibaya hata kidogo. Ni African inheritance hatuwezi kuikataa wala kuikimbia, muafrika anajitanabaisha kwa ethnicity yake, hivyo kusema sisi wapogoro na wale waluguru is not an issue coz hata zamani makabila yalikuwa yana tamaduni za kutaniana.
Inategemea mtu anaongelea makabila/ukabila kwa minajili gani. Hatuwezi kuwa westernised kiasi cha kusahau ya kwetu, na makabila ni sehemu ya SISI.
Kenya wameuana zaidi kuliko sisi, na mauaji hayo Yana relate na ukabilaKenya wanaukabila, Tanzania haina ukabila na Kenya wamepiga hatua mara mbili kutuzidi inakuingia akilini hii?
.
Acha wasukuma tutambe hutaki meza wembe
Hata kama ila wakirejea Wasukuma huenda tupo zaidi ya 20 million!Sensa ya mwisho kuuliza kabila la mtu ilikuwa kabla ya 1967.
Idadi ya watu kwa hayo makabila umepata wapi?
Acha mambo ya hisia Kiongozi. Ukubwa wa kabila kiidadi si ukubwa wa eneo wanakoishi.
Na kuuana kwao mbona uchumi wao bado mkubwa kuliko wasio na ukabila na hawauani? 😂Kenya wameuana zaidi kuliko sisi, na mauaji hayo Yana relate na ukabila
Kenya hawana maendeleo ya kufikia hatua ya kuwa proud mbele ya watanzania.Kenya wanaukabila, Tanzania haina ukabila na Kenya wamepiga hatua mara mbili kutuzidi inakuingia akilini hii?
.
Acha wasukuma tutambe hutaki meza wembe
Hapana,, amekosea sana Waikizu ni jamii ya Wakurya labda alitaka kusema Wanyantuzu? Pia kwa Wasukuma amesahau kutaja mkoa wa Katavi pia huko wamejaa!Waikizu ni tawi la wasukuma? Kivipi?
Wakenya wameendelea sababu wao after independence wali adopt capitalist mode of economy sisi tukakumbatia ujamaa, Hadi tukawekewa vikwazo na IMF, na WB had tulipokubali conditions zao it was like starting from zero wakati wakenya wanachanja mbunga sisi ndo tunaanza. So maendeleo ya Kenya hayahusiki na ukabila ni wao na strategy zao pia jua ile ilikuwa settler economy ndio Mana ina balozi nyingi na mashirika makubwa how can you compare with TanzaniaKenya wanaukabila, Tanzania haina ukabila na Kenya wamepiga hatua mara mbili kutuzidi inakuingia akilini hii?
.
Acha wasukuma tutambe hutaki meza wembe
Muda si mrefu moro na mpanda zitatekwa na wasukuma.Hata kama ila wakirejea Wasukuma huenda tupo zaidi ya 20 million!
.
Mwanza yetu, Geita yetu, Shinyanga yetu, Simiyu yetu, Tabora yetu. (Hizi ni natural state zetu)
Tukija sehemu tulizoteka Iramba tumeiteka, Mpanda tumeiteka, Tukuyu, Kyela n.k kwa kifupi Mbeya tumeiteka, Sumbawanga tumeiteka, Manyoni tumeiteka, Kasulu tumeiteka bhabha acha kabhisa.
Huu ni utafiti(usiokua rasmi) juu ya uwingi wa wazungumzaji wa makabila yaani wale ambao kiasili ni wenyeji wa kabila husika pamoja na wale ambao wamejifunza makabila husika kutokana na mwingiliano wa shughuli mbalimbali za kimaisha.
1. WASUKUMA
-Idadi yao inakadiriwa kuwa zaidi ya milioni 10. Ni kabila pekee linalopatikana zaidi ya mikoa 6. Wasukuma (ukijumlisha na matawi yake kama Wanyamwezi, Waikizu n.k) wanapatikana mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Simiyu, Tabora na Kigoma pia.
2. WAGOGO
-Wanapatikana kwa wingi mkoani Dodoma. Pia wanapatikana Morogoro/Gairo(huitwa pia Wakaguru). Mkoani Singida wanapatikana wilayani Manyoni (huitwa Wagogo wa Manyoni). Mpakani mwa mikoa ya Dodoma na Iringa pia wanapatikana kwa wingi.
3. WANGONI
Ukijumlisha pamoja na Wandendeule na Wamatengo ambao lughazao huendana sana, basi Wangoni wanafanya kuwa kabila la tatu kwa uwingi Tanzania. Wanapatikana Mkoani Ruvuma.
4. WAMASAI
Hawa wanapatikana Mkoani Arusha pamoja na baadhi ya wilaya za mkoa wa Manyara kama Simanjiro na Kiteto.
5. WARANGI
-Ukiwajumlisha pamoja na matawi yake kama Waburunge na Wanguu hawa nao wanapaswa kuingia kwenye top ten.Wanapatikana kwa wingi wilaya ya Kondoa na Chemba. Pia wanapatikana maeneo ya Mpakani mwa mkoa wa Manyara na Dodoma.
List Itaendelea...
NB: NAJUA UTASHANGAA KUTOYAONA MAKABILA YA WANYAKYUSA, WAHAYA NA WACHAGA HAPO JUU, UKWELI NI KUWA KWA KIPIMO CHA UWINGI WANAPWAYA SANA ILA WAMEFANIKIWA KWENYE UMAARUFU NA ELIMU TU.
Karibuni kwa mjadala
Hapa akuna mshindi ni bora mechi ihairishwe.wamefungwa mota kwenye kinywa horse power 100k kila mmoja.1.Wadigo
2.Wazaramo
3.Wandengereko
Hao sijui wakwanza ni nani wanaongea sana