Si
Sipendi ukabila na haina maana ila takwimu rasmi zilizokuwepo miaka 10 iliyopita:
1. Sukuma
2. Nyamwezi
3. Chagga
4. Haya
5. Nyakyusa
UKABILA UMEANZA TZ:-
Kilichobaki hii nchi TZ tuigawane kila mkoa au baadhi ya mikoa iwe ni nchi zinazojitegemea, kama ifuatavyo:-
1---- Kigoma, waha na Wamanyema
2--- Kagera, Wahaya, Wahangaza.
3----(Mwanza, Geita na Shinyanga,) Wasukuma.Wakerewe, Wakara.
Tabora---- Wanyamwezi.
4----Tanga, Wasambaa, Wadigo, wazigua.
5----Mara, Wakurya, Wajita, Wajaluo, Wazanaki.
6---Arusha, Wameru, Waarusha, Wamasai. Wairaq.
7--- kilimanjaro, Wachaga, Wapare.
8----pwani, Dar, Wakwere, Wazaramo, wandengereko.
9---Morogoro, Walugulu, Wapogoro, wakaguru, Wavidunda, Wabena Manga, Wandamba.
10---Mbeya, Wasafa, Wandali, Wanyakyusa.
11---Songea, Wangoni. Wandendeule. Wamanda, Wakisi.
12---(Iringa, Njombe), Wahehe, Wabena, wakinga.
13---- Mtwara, Wamakonde, Wamakuwa,
14----Lindi, Wamatumbi.
15---Dodoma Wagogo, Warangi.
16--- Singida, Wahadzabe, Wanyaturu, wasandawe. Wanyiramba.
17---(Rukwa,Katavi) Wafipa.
18-- Pemba, Wapemba.
19-- Unguja, Waunguja.
NB: Kabila lolote ambalo halikutajwa hapo juu na lipo katika nchi yoyote katika hizo nchi 17 hilo kabila litachukuliwa kama limehamia kiharamu (wahamiaji haramu) katika nchi husika, la sivyo wanatakiwa waombe uraia (naturalization) haraka sana.