Toroka kijijini uje Dar

Toroka kijijini uje Dar

Takwimu za Dr Mpango, Dar ndio ina watu wachache wanaoishi kwa shida ikiwemo kukosa milo mitatu. Ikifuatiwa na Klm. Arusha iko sijui ya tano, Mwanza inashindana na Kigoma kwa shida. Kwahio ukizungumzia kushindia mlo mmoja mikoani ndio wanaongoza si Dar.

Ushawahi kusikia Dar kuna njaa? Dar hawalimi chochote zaidi ya mchicha lakini njaa haiwahusu inahusu mikoani huko tena mikoa inayolima hicho hicho chakula. Hii ina nikumbusha UK, unakula machungwa,maembe,mananasi mmwaka mzima na hakuna kinacholimwa hapo Uk, ila sisi huku TZ tunaolima embe tunakula kwa msimu, chungwa kwa msimu n.k.
Dar hawez kuwa na njaa coz n muhimu kwa nchi but asilimia kalibia ya 40%ya wakaz wa dar wanashindia mlo mmoja.....alafu sijakuelewa vema umewasikia mkoa km wa mbey umetangaza njaa.....njaa zipp huko dodoma,singida nk...my b na kagera coz mdudu aliingia ktk ndizi zao.....
Huko mkoa wenzenu asilimia wanakula chakula alicho lima yeye,kikiwa na vilutubisho vyote bila kutegemea madawa ya store ili kisioze tofaut na milo mnao kula dar..mahind au mchele umevunwa mwaka juz ,umetunzwa na chemical kibao then wala leo,hv waweza jifananisha na mtu wa mbeya au moshi...nipo dae ila hiyo mbeya na moshi nimekaaa mda mrefu wanakula afya..sio km dar mchicha unakuwa kwa kumwagiwa maji yaliyo tuwama mda mrefu bacteria kibao nk.....njoo swala la maziwa fresh ,tuje maswala ya maji ya kunywa...kiufupi dar n mkoa hatar sana kwa cancer baadae
Vile vile kumbuka dar n mji mchafu kuliko yote tz
 
SIYE WA DAR TUNAJUA HADI KUNYONYA PAPUCHI NDO MAANA DADA ZENU WAKIJA DAR WANATUGANDA
 
Dar hawez kuwa na njaa coz n muhimu kwa nchi but asilimia kalibia ya 40%ya wakaz wa dar wanashindia mlo mmoja.....alafu sijakuelewa vema umewasikia mkoa km wa mbey umetangaza njaa.....njaa zipp huko dodoma,singida nk...my b na kagera coz mdudu aliingia ktk ndizi zao.....
Huko mkoa wenzenu asilimia wanakula chakula alicho lima yeye,kikiwa na vilutubisho vyote bila kutegemea madawa ya store ili kisioze tofaut na milo mnao kula dar..mahind au mchele umevunwa mwaka juz ,umetunzwa na chemical kibao then wala leo,hv waweza jifananisha na mtu wa mbeya au moshi...nipo dae ila hiyo mbeya na moshi nimekaaa mda mrefu wanakula afya..sio km dar mchicha unakuwa kwa kumwagiwa maji yaliyo tuwama mda mrefu bacteria kibao nk.....njoo swala la maziwa fresh ,tuje maswala ya maji ya kunywa...kiufupi dar n mkoa hatar sana kwa cancer baadae
Vile vile kumbuka dar n mji mchafu kuliko yote tz
Hatuwezi kuelewana. Hata kuandika vizuri huwezi.
 
1470250749168.jpg
 
siye wa dar tukienda kijijini tunawagonga dada zao kwa swagga za mjini tu
Kiinglish kidogo na unaninginiza ufunguo feki wa gari mzee unajilia wadada wakali wa kijijini kiulaiiini vitu titeee manake jamaa waoga!wanaishia kubebeshwa vyungu vya maji na kuni tu hahahha
 
Asilimia100%ya cc vidume tunaponda hii misosi lkini karibu wote tuliopo dar tunatokea kwenye hii misosi kufika town imekuwa tabu tu ache hizo kila mmoja akienda kijiji unakuta anakula cha kula kama hicho
 
Sababu kubwa ya. Kupungua nguvu za kiume sio vyakula.bali ni kwa7bu tunaona NYUCHI kila kona tunayopita.so faridikichwawazi anachukia na mizizi inamtoka mpk anataka kukatika lkn bila ya kupewa anachokitaka kwa wakati huo.lkn kijijini wanawake wanavaa vizuri.unakuwa huna hamu na mwanamke.
Pia kuna DVD za. Ngono ,clips za porn tofauti ambazo zinachangia ktk kupunguza nguvu za kiume.lkn kwa upande wa vijijini hamna hivo vitu
Nc inaoneka kidogo dini unaielewa point zinalenga mulemule
 
kuishi huko porini ni zaidi ya mahabusu,ukienda gerezani utakutana na ugali angalau unaeleweka sasa mtu anaekula ugali kama huo atasema nae yuko huru?ana tofauti gani na mfungwa?
 
kijijini wananiuzi zaidi wanapochukua nguo tulizowanunulia dada zao huku mjini na kuvaa wao,nashindwa kudownload picha moja hapa jamaa kimechukua sidiria ya dada yake limevaa na kugoma kurudisha eti imempendeza.
 
Dar hawez kuwa na njaa coz n muhimu kwa nchi but asilimia kalibia ya 40%ya wakaz wa dar wanashindia mlo mmoja.....alafu sijakuelewa vema umewasikia mkoa km wa mbey umetangaza njaa.....njaa zipp huko dodoma,singida nk...my b na kagera coz mdudu aliingia ktk ndizi zao.....
Huko mkoa wenzenu asilimia wanakula chakula alicho lima yeye,kikiwa na vilutubisho vyote bila kutegemea madawa ya store ili kisioze tofaut na milo mnao kula dar..mahind au mchele umevunwa mwaka juz ,umetunzwa na chemical kibao then wala leo,hv waweza jifananisha na mtu wa mbeya au moshi...nipo dae ila hiyo mbeya na moshi nimekaaa mda mrefu wanakula afya..sio km dar mchicha unakuwa kwa kumwagiwa maji yaliyo tuwama mda mrefu bacteria kibao nk.....njoo swala la maziwa fresh ,tuje maswala ya maji ya kunywa...kiufupi dar n mkoa hatar sana kwa cancer baadae
Vile vile kumbuka dar n mji mchafu kuliko yote tz
Takwimu za serikali zinasema Dar inaongoza kwa watu wachache wenye kipato cha chini/umaskini ikifuatiwa na kilimanjaro,Pwani,Arusha na Manyara, sasa wewe unapingana na serikali kwa takwimu gani? kama wewe uko Dar kisha unashinda njaa basi utakuwa ni miongoni mwa wao maskini wachache waliohamia mjini.Asikwambie anayekula mlo mmoja wa Dar ni tajiri kuliko yule anayekula milo mitatu katika kipindi cha msimu wa mavuno.Nimeishi huko mikoani kwa miaka mitano naelewa kuna mtu anaishi bila hata senti kwa miezi minne au hata mitano mpaka kipindi cha msimu.Ndio maana mvua zikikataa mikoa mingi hata ile inayoongoza kwa kulima inakumbwa na njaa kwa sababu hakuna alternative nyingine ya kuishi.Pesa ndo kila kitu, toroka tu uje Dar
 
kijijini wananiuzi zaidi wanapochukua nguo tulizowanunulia dada zao huku mjini na kuvaa wao,nashindwa kudownload picha moja hapa jamaa kimechukua sidiria ya dada yake limevaa na kugoma kurudisha eti imempendeza.
ahahahah kisha wanapigia picha😀😀😀
 
Vyakula si vya mjini wala kijijni hakuna vinavyoongeza nguvu kama huna huna tu watu tumeshinda miaka mi tatu tunakula mi dona na michemsho tatizo lko pale pale
 
Back
Top Bottom