Tottenham Hotspurs Thread

Hii timu inaweza isimalize ndani ya Top 4!
Tulieni nyinyi gooners, sisi fixture yetu ya sasa ni mteremko tu, tumebakisha na chelsea tu ndio tim ya maana na chelsea wenyewe kwasasa bora kucheza na majimaji ya songea. pale top three hatuganduki beleive u me. Usisahau tuna injuries pia
 
Tulieni nyinyi gooners, sisi fixture yetu ya sasa ni mteremko tu, tumebakisha na chelsea tu ndio tim ya maana na chelsea wenyewe kwasasa bora kucheza na majimaji ya songea. pale top three hatuganduki beleive u me. Usisahau tuna injuries pia
Kwanza nikupe pole kwa vichapo 2 mfululizo...kufungwa magoli 8 ndani ya game 2 ni aibu!
Kwa sasa Spur5 haiaminiki tena. Kumbuka mna Everton, Stoke, Chelsea, Swansea, Sunderland n so on. Sidhani kama mtaweza kushinda 50% ya hizi games.
 
Kwanza nikupe pole kwa vichapo 2 mfululizo...kufungwa magoli 8 ndani ya game 2 ni aibu!
Kwa sasa Spur5 haiaminiki tena. Kumbuka mna Everton, Stoke, Chelsea, Swansea, Sunderland n so on. Sidhani kama mtaweza kushinda 50% ya hizi games.
Hivi gooners wanaaminika? yaani ile mlocheza jana mnaita soccer? Halaf mkuu mna wana wa jeordies hamjapiga nao, blues na city. Yaani wewe kaa mkao wa kula lakini nakuhakikishia nyinyi papatueni hapo ya nne na pool na geordies manake chelsea keshazikwa rasmi kwenye hiki kipute
 
Hahah...sasa hivi tunachezea bahati tu!
Chelsea usiwahesabu kabisa..labda huyo Di Mateo ajaribu jaribu kuisuka tena timu upya baada ya kupigwa chini AVB!
Man city wanakuja kwetu..this time tunawafanyia kama tulichowanyia nyie!!
 
Kwanza nikupe pole kwa vichapo 2 mfululizo...kufungwa magoli 8 ndani ya game 2 ni aibu!
Kwa sasa Spur5 haiaminiki tena. Kumbuka mna Everton, Stoke, Chelsea, Swansea, Sunderland n so on. Sidhani kama mtaweza kushinda 50% ya hizi games.
Nyie mlifungwa goli 8 kwenye mechi moja
 
Nyie mlifungwa goli 8 kwenye mechi moja

Ile Arsenal ilikua unsettled, siku ile walicheza makinda wengi. Spurs wako kamili na key players wao wote wapo! Na leo wanalala kwa Everton. HT 1-0
 
Reactions: Mbu
Ile Arsenal ilikua unsettled, siku ile walicheza makinda wengi. Spurs wako kamili na key players wao wote wapo! Na leo wanalala kwa Everton. HT 1-0

.....yametimia, hahaha.....spuds mpoooo?
 
.....yametimia, hahaha.....spuds mpoooo?
Inatakiwa tushinde tu game yetu na Newcastle kesho!
Adebayor sijui ataongea nini, alikuwa anatusikitikia...sasa hivi tunaanza kumsikitikia yeye!
 
Reactions: Mbu

....koh-koh......cough, cough!!!....
 
Shedafaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!.....😛eep:
 
....koh-koh......cough, cough!!!....
heheeh sawa bana! uzuri ni kwamba tuna marehemu watatu tukifyetuka na wao wanafyetuka, nyinyi ambaeni sisi tutakomaa apo apo ya nne sio mbaya.
 
Reactions: Mbu
this is how we cracked ile gape ya points 13 , 10 , 7, 4 , 1 , 0 -1...... weekend mnapewa kichapo na chelsea -4!!:lock1:
 
Reactions: Mbu
this is how we cracked ile gape ya points 13 , 10 , 7, 4 , 1 , 0 -1...... weekend mnapewa kichapo na chelsea -4!!:lock1:

hahahahahaha....... hapo ndipo ninapokumbuka kile kicheko cha "kibelaaaaaaa!!!!"
 
"twinkle twinkle little star, how I wonder what you are..!"

jamani ee, zile nyota nyota angani kumbe walikuwa wale wadudu
vimulimuli tu? Newcastle hao hapo nao wamewawashia Indicator...
mbane, muachie...wanakula shavu sooner or later.

.........Shedafaaaaaaaaa, Klorokwiniiiiiiiiiiii come back pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz!
 
.......klorokwini, shedafa.......mmefuliaaaa!!!!!!!!!!!
 
.....bench warmers tu hawa, niliyasema mapema....5th place is whr they always deserve....
 
Mwakaza msuli upaja wenyewe wa kuku jike,i told em' that ngoma ya watoto haikeshi,haya sasa,kati ya jack wilshere na jermain defoe,who is going to donate those bucks to charity.
 

.......klorokwini, shedafa.......mmefuliaaaa!!!!!!!!!!!

hahaah sawa bana, at least sisi tunajielewa position yetu, top three kwetu ni bonus tu kwa miaka hii, lakini nyinyi bana mikwala yenu inafurahisha sana mwisho wa siku mnaishia kupapatua play offs za CL. lol
 
Reactions: Mbu


Waswahili husema "avumae baharini papa, kumbe wengi wapo". Msimu huu nasi tumo, hatujikongoji bali tumo!.

Haya ngoja niifufue huu uzi, ingawa sina uhakika kama nasi tutavuma mwaka huu pamoja na usajili wa kufuru tuliofanya. Mheshimiwa Mbu rafiki yangu, ombi lako nimetimiza.
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…