Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mkuu katika hizo game sisi hatukua tumesajili nyie mlisajili. Sisi tulikua na 60% academy players bado unaleta sababu za Son na Kane kutokuwepo lakini unaikataa sababu yangu ya key player kutokuwepo kumechangia sisi kupoteza jana.Acha unafiki, msimu uliopita Mou alicheza karibia game zote bila Harry Kane na Son na ndipo mlipomfungia. Sasa Chelsea imefanya usajili mkubwa ni vyema kulalamika mchezaji 1 au 2 hawapo ndio sababu ya kufungwa? Pia usisahau kabla ya game ya mwisho ulitoka kupoteza kwa Mou on penalties, hivyo nyie ndio mlipaswa kukumia na sio yeye.
Tutajie wachezaji aliosajili Tottenham msimu uliopita.Mkuu katika hizo game sisi hatukua tumesajili nyie mlisajili. Sisi tulikua na 60% academy players bado unaleta sababu za Son na Kane kutokuwepo lakini unaikataa sababu yangu ya key player kutokuwepo kumechangia sisi kupoteza jana.
Sijui unabisha nini hapo?
Hii pacha ni balaa
Wenge la Evarton lishaisha??Nyie baiskeli ya barafu mshaanza kushikwa shikwa uko
Jumatano piga liverpool acheni uzembe..Wenge la Evarton lishaisha??
Noma sanaDaah mou nae kazidi kupaki bus aisee
Baada ya kipindi cha pili nini kilitokea mkuuNgoja tuone kipindi cha pili kitakuwaje ila mpaka sasa tumeweza kuudhibiti mchezo.
Steven Bergwijn kakosa nafasi mbili za wazi. Tulikuwa na big chances 4 kwa 0. Ilitakiwa tuwapige game ya leo.Baada ya kipindi cha pili nini kilitokea mkuu
Kwani Matokeo ni ngapingapi mkuu?Hii liver siyo ya kuipakia bus kiasi hiki
Mou naye aache uoga, Tottenham walipaswa washambulie haswa, Liver anapasuka vizuri tu.Steven Bergwijn kakosa nafasi mbili za wazi. Tulikuwa na big chances 4 kwa 0. Ilitakiwa tuwapige game ya leo.