EZZ CHEZZ
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,230
- 1,352
Game kama hizi ndiyo inapaswa kufanya mauaji. Mpinzani hana ulinzi kabisa. Siyo mbaya. Sasa tumeingia kundi la pointi 29. Hii ligi ni [emoji91][emoji91][emoji91]. Kabla ya mchezo huu, timu 6 zilikuwa zimefungana pointi (26) zikikalia nafasi ya 5 mpaka 10.
City ni wa nane ila akishinda game za mkononi anakuwa wa 3!
Ligi bora zaidi duniani.