Kuna vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kueleweka kuhusu SPURS.
1. Usajili na better scouting.
Naomba tukumbuke, ni lini spurs iliweza kusajili wachezaji wazuri. Wote tutakubaliana nami kwamba ni kipindi kabla Gareth Bale hajauzwa. Maake hela ya Bale pale tulibahatika tu kupata Eriksen wengine wote viwango vya kawaida mno(including Lamela). Miongon mwa wachezaji ambao waliletwa tangu hapo n pamoja na Roberto Soldado, Chiliches, hotberg, David sanchez, (ambao wote walikua ni typical Flopy players) atleast (Lamela, chadli, wanyama, ) wakali ni Son
#Kuna chief scouting nakumbuka alifukuzwa ambaye alikua fundi, na nakumbuka aliletaga watu kama (Dele Ali, Toby, Jan, n.k)#
Ili team ifanye vizur ni muhimu sana kuwa na sajili zenye manufaa, kuna kipindi hapo tumekwama sana kwenye hili
2. Game tactics.
Game tactics ya mourinho ni Defensing,,
KWANINI MBINU HIZO HIZO ZA KUJILINDA ALIFANIKIWA NAZO, CHELSEA NA TEAM ZINGINE HUKO NYUMA LKN SIO MAN U, SPURS NA MADRID??
1, Aina ya wachezaji aliokua nao. Huwezi ukafanikiwa na hii mbinu kama hauna wachezaji wazuri kwenye ulinzi na kufanya mashambulizi ya kushitukiza. Je, kwa spurs ya sasa anamlinzi gn anayeweza akalinda kweli?? (Kama kipind yuko na akina John Telly, Essein, Obi, na Cole pale chelsea) wakati huo huo ana team yenye washambuliaji makini pia, wakifika golini ni Goli,,.
2. Huwezi ukalinda,, kwa kila muda kukaba tu,, the whole team.
Wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana, wanachoka,, huku wasipate matokeo mazuri.
Mpira wa sasa, ili ujilinde ni lazima either uwe unashambulia, au umiliki mpira. Vinginevyo ndo hizo individual errors zisizo koma na sasa technologia tukiwa na VAR.
NINI KIFANYIKE.
Kuna haja kubwa sana ya, kuwa na
1.scouting team nzuri.. sio kuleta wachezaji hata hawana msaada kwenye team,, eti kisa wana uzoefu au ni bei nafuu.
Kumbuka: msimu mwakajuzi tuliofika nusu fainali UEFA hatukisajili lkn team wachezaji wengi walikua wako kwenye peak nzuri. Na angepatikana mmoja tu (Dyabala)kama wataalamu wanavyosema,, labda tungebebaga ile ndoo.
2. Kocha anaye endana na mpira wa sasa.
Mourinho kwa sasa,, kaishiwa mbinu team zishamjua na hanaga mbinu nyingind yeyote ya ziada.
Better tukapata kocho mwingine,, ataye ruhusu team ifanye plessing kama spurs iliyozoeleka machon pa watu.
As currently neither we enjoy playing footbal or Results.
3. Scoud update,,
Team ili ifanye vzr lazima tubadili kikosi mara kw mara.
MAONO YANGU NI HAYO.
Sent from my Nokia 2.2 using
JamiiForums mobile app