Hii 35,000 ni hapo stone town?
Hebu Nipe connection mie
Mara kibao nakuja nalala kuanzia 60k-100k ina maana napigwa?
ππππππHaha tuende zetu tena mwaya, tupande zetu Kili IV tukae kule Mkiani, tuoge chumvi [emoji3][emoji3]
Namie nimeshangaa Kuna machimbo ya 35k wapi huko? Lodge nnayoifaham ya Bei ndogo lakini Ina hadhi nafikiri ni kuanzia 50k au 60k wanaita Baraste. Hizo guest za 35k sijajua Zina Hali Gani.
Isijeikawa kula Alnoor karibia na CCM mazingira sio Rafiki sana Kwa utalii.
Asante mkuu million ngapi kwa familia ya watu 3
Mtu mwadilifu na mwaminifu kwanini uogope kuweka mawasiliano hapa?Nawasalimu wakubwa na wadogo zangu
Mimi ni kijana wa kitanzania Mzalendo ambae napenda kujishughulisha na kupata rizki ya halali
Kwa Ambae anatamani kuja Kutembea Zanzibar ila anapata shida mbalimbali naomba wasiliana nami utatembezwa Zanzibar kwa bei nafuu sana mm ni mwenyeji wa Zanzibar na Bara pia nimeshakaa kwaio hua nawaona watu wanavohangaika wakitaka kuja Kutembea Zanzibar
Gari zipo mbili zenye uwezo wa kubeba watu 8 kwaio hata kama una familia hakuna shida yoyote mtatembezwa sehemu nyingi tu
Pia najua Jamii forum ni sehemu ya privacy kwaio hilo nalo pia linazingatiwa sana
Ni mtu makini na muaminifu sana hata kama utaleta familia ww uendelee na kazi zako hakika familia itafurahi tu
Kwa Ambae anahitaji mawasiliano PM nitampa
Umenena vyema mkuu ila kwakua sina namna, hao watu acha wajeπtutaelewana huku huku.Utafuatwa na watu wote wakisema wao ni yeye [emoji23]
Hapo cha msingi ni yeye atoe namba kwan kuna ugumu gan na anafanya kitu legit ?
Mtumishi,Nimekuelewa, umeelezea gharama za boat ambazo zinafahamika.
Nilichoshauri, wengi wanataka kuja na familia zao au kikundi, ni nadra sana mtu anaekuja peke yake ahitaji msaada wa tour japo wapo.
Kwakua wewe unataka kufanya kibiashara lakini uwarahisishie watu wanaotaka kuifaidi Zanzibar, ungetengeneza ratiba ya utalii wako utakavyoenda.
Mwingine atakaa siku Moja anataka aende Prison Island akaone Kobe na azunguke Stone Town . Unaweka makadirio ya hizo gharama.
Kuna wale wenyewe Stone Town walishafika au hawahitaji kupoteza muda, unawashauri waende Jozani au Kizimkazi wakaone Dolphin.
Kuna wale wanataka waende fungu la mchanga n.k
Kwa ufupi tengeneza program zako na makadirio ya gharama ili mtu achague au kujua namna ya kujipanga .
Kuna watu watahamasika baada ya kupata taarifa sahihi kutoka kwako. Na ukifanya vizuri, utakimbia wateja.
Nimekuelewa mkuu ila toka jana ndo kwanza napata nafasi ya kuingia jamvini Sasa hiviNimekuelewa, umeelezea gharama za boat ambazo zinafahamika.
Nilichoshauri, wengi wanataka kuja na familia zao au kikundi, ni nadra sana mtu anaekuja peke yake ahitaji msaada wa tour japo wapo.
Kwakua wewe unataka kufanya kibiashara lakini uwarahisishie watu wanaotaka kuifaidi Zanzibar, ungetengeneza ratiba ya utalii wako utakavyoenda.
Mwingine atakaa siku Moja anataka aende Prison Island akaone Kobe na azunguke Stone Town . Unaweka makadirio ya hizo gharama.
Kuna wale wenyewe Stone Town walishafika au hawahitaji kupoteza muda, unawashauri waende Jozani au Kizimkazi wakaone Dolphin.
Kuna wale wanataka waende fungu la mchanga n.k
Kwa ufupi tengeneza program zako na makadirio ya gharama ili mtu achague au kujua namna ya kujipanga .
Kuna watu watahamasika baada ya kupata taarifa sahihi kutoka kwako. Na ukifanya vizuri, utakimbia wateja.
Asante mkuu nimepata mwanga wa kuweka uamuziMimi sio Specialists wa hizi safari lakini huku Arusha kuna kampuni nyingi sana za utalii ukitaka day trip ni bei ya chini kidogo , ukilala huko kama utalala hotelinj bei inakuwa juu kama utalala campsites bei inapungua kidogo so hapo ninachotaka kusema ni kwamba request zako za safari ndo bei ambayo watakupa.
Kama utataka suggestion za best tour companies ntakupa ila the best services ni gharama kidogo .
NB :Serengeti kutokea Arusha geti la Ngorongoro hamna day trip lakin kwa tarangire na Ngorongoro Day trip inawezekana
Haha hadi uje unawe au ukaoge utakuwa ushawaongezea watu wataokutazama usoni siku za kuishi kwa kuwachekesha, maana hata ukijipukuta hiyo chumvi bado tu uso unakuwa umepauka, unaonekana tu huyu amesafiri mkiani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukifika si tutaoga tu!
πππππHaha hadi uje unawe au ukaoge utakuwa ushawaongezea watu wataokutazama usoni siku za kuishi kwa kuwachekesha, maana hata ukijipukuta hiyo chumvi bado tu uso unakuwa umepauka, unaonekana tu huyu amesafiri mkiani
Aahh wewe ambaye ukifika unaishia kujifungia ndani tu wakati Sehemu kama hizo zinataka kuzurura [emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndio utakuwa umeamua kunifanyia mambo meusi, mie nitafanyaje sasa!!
Fanya unipeleke Zanzibar bwana, nitazeeka sipajui eti[emoji134][emoji134]
With you, it will be a marvelous experience. Its who you with, you knowπππAahh wewe ambaye ukifika unaishia kujifungia ndani tu wakati Sehemu kama hizo zinataka kuzurura [emoji2][emoji2]
Haha kwa hela gani maana enjoyment nayo inataka hela, nauli ya mkiani tu shida wakati mwingine unatamani uwaambie naombeni nisitoe nauli, fungeni tu kamba kule nyuma halafu mimi niishikilie muwe mnaniburuza Baharini hadi tunafika [emoji16][emoji16]With you, it will be a marvelous experience. Its who you with, you know[emoji12][emoji12][emoji12]
Haki nimechekaaaπππHaha kwa hela gani maana enjoyment nayo inataka hela, nauli ya mkiani tu shida wakati mwingine unatamani uwaambie naombeni nisitoe nauli, fungeni tu kamba kule nyuma halafu mimi niishikilie muwe mnaniburuza Baharini hadi tunafika [emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haki nimechekaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi watatuburuza.
Mtumishi,
Nimesoma tu hapa, mpaka nimetamani nipange safari kesho..π