Tour in Zanzibar

Tour in Zanzibar

Hii 35,000 ni hapo stone town?

Hebu Nipe connection mie

Mara kibao nakuja nalala kuanzia 60k-100k ina maana napigwa?

Namie nimeshangaa Kuna machimbo ya 35k wapi huko? Lodge nnayoifaham ya Bei ndogo lakini Ina hadhi nafikiri ni kuanzia 50k au 60k wanaita Baraste. Hizo guest za 35k sijajua Zina Hali Gani.

Isijeikawa kula Alnoor karibia na CCM mazingira sio Rafiki sana Kwa utalii.
 
Nasikia pia airport ya Zanzibar haisumbui kama ya hapa dar
 
Namie nimeshangaa Kuna machimbo ya 35k wapi huko? Lodge nnayoifaham ya Bei ndogo lakini Ina hadhi nafikiri ni kuanzia 50k au 60k wanaita Baraste. Hizo guest za 35k sijajua Zina Hali Gani.

Isijeikawa kula Alnoor karibia na CCM mazingira sio Rafiki sana Kwa utalii.

Pale ccm kuna siku nimelala baada ya kukosa Baraste ila nililipia 60k Kama sijasahau

Pale kelele pale hapafai hata robo
 
Asante mkuu million ngapi kwa familia ya watu 3

Mimi sio Specialists wa hizi safari lakini huku Arusha kuna kampuni nyingi sana za utalii ukitaka day trip ni bei ya chini kidogo , ukilala huko kama utalala hotelinj bei inakuwa juu kama utalala campsites bei inapungua kidogo so hapo ninachotaka kusema ni kwamba request zako za safari ndo bei ambayo watakupa.
Kama utataka suggestion za best tour companies ntakupa ila the best services ni gharama kidogo .

NB :Serengeti kutokea Arusha geti la Ngorongoro hamna day trip lakin kwa tarangire na Ngorongoro Day trip inawezekana
 
Nawasalimu wakubwa na wadogo zangu

Mimi ni kijana wa kitanzania Mzalendo ambae napenda kujishughulisha na kupata rizki ya halali

Kwa Ambae anatamani kuja Kutembea Zanzibar ila anapata shida mbalimbali naomba wasiliana nami utatembezwa Zanzibar kwa bei nafuu sana mm ni mwenyeji wa Zanzibar na Bara pia nimeshakaa kwaio hua nawaona watu wanavohangaika wakitaka kuja Kutembea Zanzibar

Gari zipo mbili zenye uwezo wa kubeba watu 8 kwaio hata kama una familia hakuna shida yoyote mtatembezwa sehemu nyingi tu

Pia najua Jamii forum ni sehemu ya privacy kwaio hilo nalo pia linazingatiwa sana

Ni mtu makini na muaminifu sana hata kama utaleta familia ww uendelee na kazi zako hakika familia itafurahi tu


Kwa Ambae anahitaji mawasiliano PM nitampa
Mtu mwadilifu na mwaminifu kwanini uogope kuweka mawasiliano hapa?

Hii ni biashara unaogopaje kuweka mawasiliano?
 
Utafuatwa na watu wote wakisema wao ni yeye [emoji23]
Hapo cha msingi ni yeye atoe namba kwan kuna ugumu gan na anafanya kitu legit ?
Umenena vyema mkuu ila kwakua sina namna, hao watu acha waje😂tutaelewana huku huku.
 
Nimekuelewa, umeelezea gharama za boat ambazo zinafahamika.

Nilichoshauri, wengi wanataka kuja na familia zao au kikundi, ni nadra sana mtu anaekuja peke yake ahitaji msaada wa tour japo wapo.

Kwakua wewe unataka kufanya kibiashara lakini uwarahisishie watu wanaotaka kuifaidi Zanzibar, ungetengeneza ratiba ya utalii wako utakavyoenda.

Mwingine atakaa siku Moja anataka aende Prison Island akaone Kobe na azunguke Stone Town . Unaweka makadirio ya hizo gharama.

Kuna wale wenyewe Stone Town walishafika au hawahitaji kupoteza muda, unawashauri waende Jozani au Kizimkazi wakaone Dolphin.

Kuna wale wanataka waende fungu la mchanga n.k

Kwa ufupi tengeneza program zako na makadirio ya gharama ili mtu achague au kujua namna ya kujipanga .

Kuna watu watahamasika baada ya kupata taarifa sahihi kutoka kwako. Na ukifanya vizuri, utakimbia wateja.
Mtumishi,
Nimesoma tu hapa, mpaka nimetamani nipange safari kesho..🙌
 
Nimekuelewa, umeelezea gharama za boat ambazo zinafahamika.

Nilichoshauri, wengi wanataka kuja na familia zao au kikundi, ni nadra sana mtu anaekuja peke yake ahitaji msaada wa tour japo wapo.

Kwakua wewe unataka kufanya kibiashara lakini uwarahisishie watu wanaotaka kuifaidi Zanzibar, ungetengeneza ratiba ya utalii wako utakavyoenda.

Mwingine atakaa siku Moja anataka aende Prison Island akaone Kobe na azunguke Stone Town . Unaweka makadirio ya hizo gharama.

Kuna wale wenyewe Stone Town walishafika au hawahitaji kupoteza muda, unawashauri waende Jozani au Kizimkazi wakaone Dolphin.

Kuna wale wanataka waende fungu la mchanga n.k

Kwa ufupi tengeneza program zako na makadirio ya gharama ili mtu achague au kujua namna ya kujipanga .

Kuna watu watahamasika baada ya kupata taarifa sahihi kutoka kwako. Na ukifanya vizuri, utakimbia wateja.
Nimekuelewa mkuu ila toka jana ndo kwanza napata nafasi ya kuingia jamvini Sasa hivi

Nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Hii 35,000 ni hapo stone town?

Hebu Nipe connection mie

Mara kibao nakuja nalala kuanzia 60k-100k ina maana napigwa?
Hhhhhhhh pole dada ni PM nikuelekeze lodge nzuri
 
Mimi sio Specialists wa hizi safari lakini huku Arusha kuna kampuni nyingi sana za utalii ukitaka day trip ni bei ya chini kidogo , ukilala huko kama utalala hotelinj bei inakuwa juu kama utalala campsites bei inapungua kidogo so hapo ninachotaka kusema ni kwamba request zako za safari ndo bei ambayo watakupa.
Kama utataka suggestion za best tour companies ntakupa ila the best services ni gharama kidogo .

NB :Serengeti kutokea Arusha geti la Ngorongoro hamna day trip lakin kwa tarangire na Ngorongoro Day trip inawezekana
Asante mkuu nimepata mwanga wa kuweka uamuzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukifika si tutaoga tu!
Haha hadi uje unawe au ukaoge utakuwa ushawaongezea watu wataokutazama usoni siku za kuishi kwa kuwachekesha, maana hata ukijipukuta hiyo chumvi bado tu uso unakuwa umepauka, unaonekana tu huyu amesafiri mkiani
 
Haha hadi uje unawe au ukaoge utakuwa ushawaongezea watu wataokutazama usoni siku za kuishi kwa kuwachekesha, maana hata ukijipukuta hiyo chumvi bado tu uso unakuwa umepauka, unaonekana tu huyu amesafiri mkiani
😂😂😂😂😂
Si ndio utakuwa umeamua kunifanyia mambo meusi, mie nitafanyaje sasa!!

Fanya unipeleke Zanzibar bwana, nitazeeka sipajui eti🙆🙆
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndio utakuwa umeamua kunifanyia mambo meusi, mie nitafanyaje sasa!!

Fanya unipeleke Zanzibar bwana, nitazeeka sipajui eti[emoji134][emoji134]
Aahh wewe ambaye ukifika unaishia kujifungia ndani tu wakati Sehemu kama hizo zinataka kuzurura [emoji2][emoji2]
 
Aahh wewe ambaye ukifika unaishia kujifungia ndani tu wakati Sehemu kama hizo zinataka kuzurura [emoji2][emoji2]
With you, it will be a marvelous experience. Its who you with, you know😜😜😜
 
With you, it will be a marvelous experience. Its who you with, you know[emoji12][emoji12][emoji12]
Haha kwa hela gani maana enjoyment nayo inataka hela, nauli ya mkiani tu shida wakati mwingine unatamani uwaambie naombeni nisitoe nauli, fungeni tu kamba kule nyuma halafu mimi niishikilie muwe mnaniburuza Baharini hadi tunafika [emoji16][emoji16]
 
Haha kwa hela gani maana enjoyment nayo inataka hela, nauli ya mkiani tu shida wakati mwingine unatamani uwaambie naombeni nisitoe nauli, fungeni tu kamba kule nyuma halafu mimi niishikilie muwe mnaniburuza Baharini hadi tunafika [emoji16][emoji16]
Haki nimechekaaa😂😂😂


Basi watatuburuza.
 
Back
Top Bottom