Huwezi kuelewa namna artificial intelligence ya Tigo pesa inavyofanya kazi in relation na Tigo website.Nyie watu bana
Sasa uhusiano wake na tigo pesa n nn?
Habari wanaJF,
Website ya Mtandao Mkubwa wa Mawasiliano wa Tigo Tanzania yadukuliwa na inaonekana wadukuzi wanadai Ransom ili waweze kuwaachia.
Shambulio hili limetekelezwa kwa kufunga encrypt taarifa zote na ili ziwe decrypted ni lazima kiasi cha fedha kilipwe. Hata hivyo hakuna uhakika kuwa hata mkilipa fedha basi tovuto itaachiwa, jamaa wanaweza kugeuza mtaji na wakawa wanawachezea kila wakati.
> Idara ya ICT ya Tigo ilikwama wapi? Ingawa shambulio linaweza kuwa limetekezwa kupitia kifaa kimoja wapo cha mfanyakazi.
> Elimu ya usalama wa kidigitali ni muhimu sana kwenye haya makampuni kuanzia ngazi ya juu hadi kwa wafanyakazi.
View attachment 1542657
Leo kuna kitu kinaendelea Google huko. Kuna outages si za kawaida. Pia kuna ma serverless botnet yamevamia SSH servers kibao.Usicheze na HACKERS! Hao wana uwezo wa kudukua makampuni mbali mbali makubwa duniani na kuondoka na $$$ in millions kama ransom itakuwa kampuni ndogo kama Tigo?
Hao jamaa ni hatari sana na ni tishio kubwa sana kwa makampuni mengi duniani.
Leo kuna kitu kinaendelea Google huko. Kuna outages si za kawqida. Pia kuna ma serverless botnet yamevamia SSH servers.
Jamaa wanasumbua dunia nzima. Ila kwa Kibongobongo wanakuta admin ana server la IIS lina more holes than Swiss cheese halafu halijafanyiwa patching mwaka.
Hapo unawaalika tu waje kukufanyia mbaya.
Nilishapata purikushani na watoto wa Kituruki zamani sana. Wali defqce IIS server yangu. Lakini hawakuweza kufika mbali sana kwa sababu nilikuwa na layered security. Nikajifunza kwamba haya mambo si mchezo.
8,256,339,000.00 hahahahaha wamezoea kutubia zamu yao sasa.... malipo hapa hapa dunianiWanataka Billion 8 duuh
ni BITCOIN...hii ni fedha ya kimtandao(/cryptocurrency) ambayo inasifa yakutokuwa na central system(/decentralized digital currency)iko powerd na block chain technologyHivi Britcoin inamaanisha nn?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji182][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwingine alidukua KFC akijipa premium membership akawa anakula mabawa ya ndege na vibanzi kwa muda mrefu sana
Elimu Elimu ElimuHivi Britcoin inamaanisha nn?
Kuna file la kitabu kama 10 MB nilikuwa natuma na Gmail. Kawaida ni kitu cha mara moja tu.Leo hata Gmail ilikuwa ina tatizo sana ..
Sasa si ndiyo hivyo mtu kauliza swali anataka kuelimishwa.Elimu Elimu Elimu
Hii kitu hata serikalini ni hivyohivyo, watu wa IT ukiona mishahara ya utacheka so wanaobaki ni wale vilaza tuu..Kuna siku nilikaa siku Tatu nasubiri network irudi Akiba Cormecial Bank..
Siku Tatu...imagine that..
Niliwahi uliza why kuna bank network ni shida sana nikajibiwa hawataki kuajiri watu wa IT walioiva...na wakiajiri wanawalipa kidogo sana..
Sasa kampuni kama Tigo na voda Tz zinapenda mno cheap labour...
Lazima yawakumbe haya mambo
Wewe ni mgeni humu JF?Mbona JF haidukuliwili ? Kuna wanao dukuliwa kwa kuzidiwa na wanao dukuliwa kwa uzembe.. Tigo huo ni uzembe na sio kwamba wamezidiwa
Yaa walimwajiriHuyu kijana nilimsikia kama walimuajiri hivi au nimekosea
Watu wanashindwa kujua JF ni forum tu na ziko maelfu kwa maelfu.Sasa Brother JF Taarifa zake sio potential Brother; Achana na hiyo Serikali Yenu huko Tz inayotaka kupata Taarifa za JF kwa maslahi yasio ya Kifedha.
Hack it Does Cost Money, Time Etc; Hizo kampuni nilizozitaja hapo juu, especially Ebay na Hertland zilikuwa na Information za Kifedha, na Most of Them zina Valid information, Names, Address Etc
Achana na Hii JF Ambayo watu wanatumia Fake ID, Fake Email; Ni Serikali yangu Tz tu ndo itangangania taarifa za Hivyo; Kumbuka JF sio Global Kiivyo Brother; huwezi fanya Comparison na FB, Insta, WhatsApp; So Kama naidharau no; Ila in Comparison to Potentiality kuvutia Serious Hacker bado iko low profile