Tovuti za Maudhui ya Ngono kufunguliwa baada ya kuzuiwa kwa muda mrefu ni kete ya kisiasa kuelekea Uchaguzi 2025?

Tovuti za Maudhui ya Ngono kufunguliwa baada ya kuzuiwa kwa muda mrefu ni kete ya kisiasa kuelekea Uchaguzi 2025?

Wadau site za porn zimefunguliwa tena baada ya muda mrefu kufungiwa. Hii ni move ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu au tatizo ni nini.

Kimaadili naonaa lilikuwa jambo zuri kuzifungua, najua watu walikua wana-access kupitia vpn lakini angalau kwa kiasi kikubwa ilisaidia watoto wetu kutozifikia hizo sites kirahisi.

Naomba serikali ifikirie upya hili swala na nashauri hizo sites zifungiwe tena ili kusaidia taifa letu la sasa na vizazi vijavyo.
umejuaje zimefunguliwa?
 
Wadau site za porn zimefunguliwa tena baada ya muda mrefu kufungiwa. Hii ni move ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu au tatizo ni nini.

Kimaadili naonaa lilikuwa jambo zuri kuzifungua, najua watu walikua wana-access kupitia vpn lakini angalau kwa kiasi kikubwa ilisaidia watoto wetu kutozifikia hizo sites kirahisi.

Naomba serikali ifikirie upya hili swala na nashauri hizo sites zifungiwe tena ili kusaidia taifa letu la sasa na vizazi vijavyo.
Umehakiki ulichoandika?Anza na aya ya pili.
 
Back
Top Bottom