Hujui kituHuyo anaweza kuwa hatari kwenye kijiwe Chenu cha bangi
ndugu yake dizasta 😂Hujui kitu
Hizi mambo zipo sanaMwamba Toxic ni mkali sana kwangu Mimi kwa hapa Bongo kwa wasanii wa Hip Hop wa kizazi yake he is the king. Sema shida yake moja tu anakuwaga kimya sana bila kutoa mikwaju.
Bonge la goma.
" Sometimes tunaomba dua ambazo hatujafundishwa kwenye vitabu vya dini" This line is too powerful na imewagusa wengi. ( Dua wanazo ombaga waswahili vilingeni hawajafundishwaga kwenye vitabu vya dini)
" Shida tulizo nazo hata mchawi akiziona anasema hawa siwarogi"🤣🤣🤣🤣